Kesi ya uhaini na kifo cha Komando Tamimu

Mimi napenda kujua kwa mwenye habari zinazohusu kesi ya uhain ktk miaka ya tisini na kifo cha komando tamimu kilitoke vp mwenye kujua aniabarishe hapa jamvin
Kesi ya uhaini ilikuwa miaka ya 80 sion 90.Jaribio lilifanyika mwaka 1983
 
Na pigo lako litakuja baada ya siku chache na watu watashangilia
Hata wasiposhangilia litakuja tu kama vile wewe litakapokuangamiza walie wasilie utaangamia tu kwa hiyo usitafute lawama kwa mtu haya mambo yapo bila kujali nani analia au nani anacheka.
 
Hata wasiposhangilia litakuja tu kama vile wewe litakapokuangamiza walie wasilie utaangamia tu kwa hiyo usitafute lawama kwa mtu haya mambo yapo bila kujali nani analia au nani anacheka.
Litaanza pigo lako wewe.Malipo ni hapa hapa duniani.
 

Shida yetu hatuna maandishi ya kudumu kuhusu watu hawa. Kwa mfano, Col Mahfudhi!
 
Ndiyo kipindi Hicho alikuwa kitengo cha kupambana na uhalifu wa kivita walikuwa pamoja na Akina Apson ndipo baadae akahama kitengo na kwenda kusoma Sheria hadi leo ni mwanasheria.

Kweli ni mpinzani?
 
aise umenikumbusha the law of struggle and unit of opposite.Mfano kinyume na utelezi ni msuguano au friction.Usingekuwa msuguano wa tairi na ardhi gari lisingetembea hapo ni ugomvi.Kusingekuwa na njaa tusingefanya kazi maana tungekuwa tumeshiba.Asingekuwepo shetani wa kutujaribu mungu angeshindwa kutumpima imani yetu.Newton third law of motion to every action there is an equal and opposite reaction.Wewe unatembea kwasababu kuna force imelingana na uzito wako ndio inakufanya utembee.Ukienda kwenye shimo limefunikwa mkeka utatumbukia sababu force yako ya juu inakuwa kubwa kuliko ya chini hiyo utatumbukia ila ukifika kule shimoni utatulia vile umefika sehemu nguvu umebalance hapo utakuwa umeumia.Ahsante bro kwa point yako
 
Mimi napenda kujua kwa mwenye habari zinazohusu kesi ya uhain ktk miaka ya tisini na kifo cha komando tamimu kilitoke vp mwenye kujua aniabarishe hapa jamvin
Mkuu, hiyo ni miaka ya 80 sio 90, Tamim, uncle Tom na mzee Maganga
 

Why did Captain Tamimu desert the army? Why was he hiding in Nairobi with Yusuph Lule?
 

Moja ya hizo Chupa zikampasua kichwa Kachero mwingine wa Serikali Aliekuwa akiitwa Lyatonga Mrema na kumpelekea kuvaa bagharashia kama Mwislamu baada ya hapo.Pia ilikuja fanya malori yote ya Breweriess kuwa na askari wenye silahaa muda wote.Tukio hili likitokea maeneo ya barabara ya Kwenda Magomeni kama unatokea Kinondoni (moroko rd
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…