Kesi ya urithi wa Marehemu Dkt. Mengi: Yaliyojiri Mahakamani

Sipati picha uwe Ni mtoto pekee wa marehemu mzee wako.

Afu ukabidhiwe ulelewe kwa mama wa kambo mkatili Kama JACKY.

Bila shaka dunia utaiona chungu, Na akikuona unaanza kujielewa

Achelewi kukulisha sumu ya panya ufe, arithi Mali zote zilizobaki peke yake na wanawe[emoji45]
 
Mzee muhuni kala papuchi then kaandika wosia magumashi kasepa zake jehanamu
 

Baniani mazishi hutumia kuni kufanya mazishi nadhani alimani kulingana na vifo kuwa vingi utakea upungufu wa kuni za kufanyia mazishi )kama sikosei hapo wototo wakubwa wa marehemu.tayari walisharith hisa za mama yao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…