Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sipati picha hii kesi angeshinda yeye, afu ndo nimshuhudie anagawa izo bukubukuHahaaaa
Mzee muhuni kala papuchi then kaandika wosia magumashi kasepa zake jehanamuSipati picha uwe Ni mtoto pekee wa marehemu mzee wako.
Afu ukabidhiwe ulelewe kwa mama wa kambo mkatili Kama JACKY.
Bila shaka dunia utaiona chungu, Na akikuona unaanza kujielewa
Achelewi kukulisha sumu ya panya ufe, arithi Mali zote zilizobaki peke yake na wanawe[emoji45]
Kurunzi uwahishe Leo bna nataka kulala mapema nimechokaHahaaaa
Shukrani.hili desa unapiga chabo wapi kurunzi?? Maana unatuletea mdogo mdogo kama tamthilia za Azam bna.Sehemu ya 4 soma juu
Swali la muhimu ni
1. Je Jackline kweli alitaka huo wosia ufatwe 100 % yaani yeye na mapacha wake wachukue Mali zote bila huruma?
2. Jackline kweli anataka watoto wa Mengi wapewe hizo buku buku kama wosia unavotaka?
3. Ongezeni maswali hadi mahakimu wa JamiiForums washtuke
Mkuu muda umefika ?Sehemu ya 4 soma juu