Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dini gani Tena?Humu nilishawahi kuuliza je dini ya Mengi inasemaje kuhusu mirathi ya watu wake?? Upo uzi hapa nashindwa kuupandisha
Umemaliza, ngoja nikafungue genge langu wanangu wapate ugali😀Watoto wetu watarithi haya tunayoyajadiri?
Ngoja nikahangaike na dunia
Kuna watu wana IQ kubwa!Awe pisi kali tu akili tutatumia zangu.
Unaweza kuoa mcharuko na mali zikabaki mikono salama, hapa tatizo ni moja tu mzee Mengi alichelewa kuandaa mirathi na inaonekana aliandaa kienyeji too many loopholes, natilia mashaka uwezo wa wanasheria wake kwa mtu wa hadhi yake....
Sidhani angefanya ujinga huo ambao anajua ungepelekea kuleta mafarakano ya kifamiliaKuna watu wana IQ kubwa!
Yaweza kuwa mzee huyo aliandika wosia wenye mapungufu kwa makusudi ili kumridhisha mshawishi, aone kwamba mzee anampenda na kumjali huku akilinda haiba yake na haki ya familia pana.
Haiwezekani tajiri aliyekuwa na wanasheria kuweza kuandaa document zenye mapungufu bila hao wanasheria kung'amua kuingilia na kushauri.
Hapa tunayageuza geuza maneno kama kutafiti ni nini kilisababisha wosia uwe na mapungufu hayo yote wakati marehemu alikuwa na wanasheria washauri nguli.Sidhani angefanya ujinga huo ambao anajua ungepelekea kuleta mafarakano ya kifamilia
na ka-elimu ka kutambua utu wa mtu na uthamani wake....Ukioa muombe Mungu akupe mke Mwenye either aibu au huruma.
Siyo wote tuliopata wasaa wa kufuatilia hii case mwanzo hadi mwisho so anatusaidia analysis zake.Si hata ivo hukumu ishatolewa au umeamua kurewind mkanda
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sure aisee.ya nn kujitesa kutafta mwanamke wa aina fulani mtu mwenyewe kapuku tu? Lol
Mind you ikitokea leo hii watu wote wakaamua kuwa wanaongea ukweli tu bila hata chembe ndogo ya uongo, basi tutakuwa hatuna tena haja ya kujua sheria wala kuwa na sheriaMimi nadhani ifike mahala mtu yeyote akimaliza kusoma kozi anayotaka basi asome hata kozi ya sheria kama nyongeza.
Wapi nduruuuuuuuuh, umemalizaaaaah kila kitu.Mimi nadhani ifike mahala mtu yeyote akimaliza kusoma kozi anayotaka basi asome hata kozi ya sheria kama nyongeza.
Hii itamsaidia kupunguza ujinga kwenye mambo yasiyohitaji kutumia nguvu bali akili...
Kwa hiyo wewe unaamini kabisa kwamba Dk Mengi aliyekuwa anaingia mikataba na makampuni makubwa ya kimataifa anaweza kuwa na mawakili dhaifu kiasi washindwe kujua kwamba ili wosia uwe halali kisheria lazima unapoandikwa awepo ndugu wa mwandikaji?Sidhani angefanya ujinga huo ambao anajua ungepelekea kuleta mafarakano ya kifamilia
Tupe tujifunze tupunguze tamaaKuna cha kujifunza jinsi kesi ilivyoendesha
Aagghhhrrr sasa presha za nini kutafuta sijui mwanamke wa namna gani na wakati wewe sio wa mwanaume wa namna fulani😄😄😄😄😄Sure aisee.ya nn kujitesa kutafta mwanamke wa aina fulani mtu mwenyewe kapuku tu? Lol