Ameshindwa kuithibitishia mahakama imekula kwake ,kwa miaka sita ameliwa mzigo bureeeMjini wanasema Mzee amefariki hata b1 hajawahi kuishika, hizo zote za mwanamke mpambanaji wa "wanawake na maendeleo" tusonge mbele.
Wanaume kazi tunayo.
Itabidi tuwe tunawazika nazo wakalie mvinyo na akina Hitler, Saddam, Osama na MusollinChenge aliwahi kusema bilioni moja ni vijisenti mkamjia juu,mama tibaijuka akasema ni hela ya mboga tu mkapaza sauti...
Kabisa mkuuSerikalini kuna hela sana kwa viongozi
Fursa za kupiga nyingi sana
Ya Mungu mengi huwezi jua,nchi ya wahuni hii.Kabla ya yote yule aliyefariki Juzi juzi alikuwa ana DAI billlion kibao vip amelipwa?
Kwa taarifa yako huyu ndio kiongozi mstaafu wa ngazi yake ambaye hana Kitu , yaani huyu ndio KapukuChenge aliwahi kusema bilioni moja ni vijisenti mkamjia juu,mama tibaijuka akasema ni hela ya mboga tu mkapaza sauti,sasa hukumu iliyosomwa wiki hii katika kesi ya mirathi inayohusu Dkt. likwelile imeonyesha alikuwa akimiliki mali za bilioni 4.
Aliwahi kuwa katibu mkuu hazina kwa kipindi kifupi ila muda mwingi amekuwa lecturer UDSM.
Kuna watu wanaila hii nchi,ila uzuri wakifa wanaziacha.
Tafuteni hela maisha sio magumu
Kwa hiyo mwanamke alikuwa anachuma anampa boss wake..anachuma anampa bosi wake?(ambaye badae alikuja kuishi nae kinyumba).Mjini wanasema Mzee amefariki hata b1 hajawahi kuishika, hizo zote za mwanamke mpambanaji wa "wanawake na maendeleo" tusonge mbele.
Wanaume kazi tunayo.
Ameshindwa kuithibitishia mahakama imekula kwake ,kwa miaka sita ameliwa mzigo bureee
Kesi za mirathi huwa mtu unakadiria mali zinaweza kuwa zinathamani kiasi gani.
Soma Hukumu ya kesi ujue
Inaweza kuwa kweli au si kweli kwamba mali hizo zina fika hicho kiasi
Hapa Tanzania tunataizo la kuover value property zetu kwa kiasi kikubwa
TASAF kaiba ngapi?Chenge aliwahi kusema bilioni moja ni vijisenti mkamjia juu,mama tibaijuka akasema ni hela ya mboga tu mkapaza sauti,sasa hukumu iliyosomwa wiki hii katika kesi ya mirathi inayohusu Dkt. likwelile imeonyesha alikuwa akimiliki mali za bilioni 4.
Aliwahi kuwa katibu mkuu hazina kwa kipindi kifupi ila muda mwingi amekuwa lecturer UDSM.
Kuna watu wanaila hii nchi,ila uzuri wakifa wanaziacha.
Tafuteni hela maisha sio magumu
Kuna watu wanaila hii nchi,ila uzuri wakifa wanaziacha.[emoji419][emoji375]Chenge aliwahi kusema bilioni moja ni vijisenti mkamjia juu,mama tibaijuka akasema ni hela ya mboga tu mkapaza sauti,sasa hukumu iliyosomwa wiki hii katika kesi ya mirathi inayohusu Dkt. likwelile imeonyesha alikuwa akimiliki mali za bilioni 4.
Aliwahi kuwa katibu mkuu hazina kwa kipindi kifupi ila muda mwingi amekuwa lecturer UDSM.
Kuna watu wanaila hii nchi,ila uzuri wakifa wanaziacha.
Tafuteni hela maisha sio magumu
Na bado siku utasukia mali anazomilikiChenge aliwahi kusema bilioni moja ni vijisenti mkamjia juu,mama tibaijuka akasema ni hela ya mboga tu mkapaza sauti,sasa hukumu iliyosomwa wiki hii katika kesi ya mirathi inayohusu Dkt. likwelile imeonyesha alikuwa akimiliki mali za bilioni 4.
Aliwahi kuwa katibu mkuu hazina kwa kipindi kifupi ila muda mwingi amekuwa lecturer UDSM.
Kuna watu wanaila hii nchi,ila uzuri wakifa wanaziacha.
Tafuteni hela maisha sio magumu