Kesi ya Vicky Kamata imetufumbua macho, kumbe Dkt. Likwelile alikuwa akimiliki mali za bilioni 4

Kesi ya Vicky Kamata imetufumbua macho, kumbe Dkt. Likwelile alikuwa akimiliki mali za bilioni 4

mali za bilioni 4 mbona kawaida
ivi zile nyumba zilipigwa mnada akataka nunua dr. shika zilikuwa bei gani (m600 hadi 1b)

maana yake ni kumiliki nyumba kama zile 2 na makolokolo mengine

4b ni hela ya kawaida sana
 
Na bado siku utasukia mali anazomiliki
1. Saa100
2. JK
3. R. One
4. Makamba Jr
5. Maharagwe
6. Mwigulu
7. Dotto
8. DG wa TRA
9. DG TPA
10. DG wa TRC
11. Governor wa BOT
12. Abdul ( mtoto wa mama Abdul)
Mtadondoka mzimie
Hao ni mabilionea wakubwa sana africa
 
mali za bilioni 4 mbona kawaida
ivi zile nyumba zilipigwa mnada akataka nunua dr. shika zilikuwa bei gani (m600 hadi 1b)

maana yake ni kumiliki nyumba kama zile 2 na makolokolo mengine

4b ni hela ya kawaida sana
Hela ya kawaida kwa mfanyabiashara ila kwa mtumishi kwa mshahara huu tunsoujua ni nyingi sana
 
Kabisa mkuu
Kuna mtu wangu wa karibu...alinijuza (jamaa) waliomba wapitishe fedha kwenye account yake halafu yeye anakula 10%.
N.b.ukiona mtu kafa kwenye mazingira ya kutatanisha..jua kawadhulumu "wakulungwa"
BIla shaka na wewe utakuwa na bilioni kadhaa
 
Halafu Pana mipumbavu inawabana watu wasile hata mia wakiteseka usiku kucha wamesacrife usingizi plus risk kibao mionzi,Ac,njaa airport wakusanye ili zikaliwe juu
Nyie huko chini zikusanyeni lipeni kwa macontro namba zikifika huku juu sisi wachache kazi yetu ni kuzitafuna tu.Alafu kibaya na uzuri huku juu tunatafuna mabilioni mliokusanya na hata kelele hakuna ,na nyie huko chini kuleni za kung'alishia vitatu, passport, airport muone mwano wake.
 
Nyie huko chini zikusanyeni lipeni kwa macontro namba zikifika huku juu sisi wachache kazi yetu ni kuzitafuna tu.Alafu kibaya na uzuri huku juu tunatafuna mabilioni mliokusanya na hata kelele hakuna ,na nyie huko chini kuleni za kung'alishia vitatu, passport, airport muone mwano wake.
Wapumbavu kishenzi akipatikana kapoteza hata hamsini hakuna rangi hatoiona
Sometimes Huwa naona baadhi ya watendaji hawana akili kabisa eti mtu anasimamishwa kazi miaka sita huku anaendelea kupokea mshahara kwa upotevu wa elf hamsini ili kupisha uchunguzi huyu mtu anapokea si chini ya milioni moja kwa mwezi toka Serikalini kama mshahara.
Baadae ya miaka sita hakuna ushahidi anarejeshwa kazini.
Wengine wakisimamishwa kazi uenda private company wanaendelea na ajira so wanavuta Serikalini na private company wanavuta Tena wanakaa kimya hawafatilii kesi zao au wanakuwa wamepata muda wa kusimamia biashara zao hadi akirudishwa kazini alishamake sana
 
Chenge aliwahi kusema bilioni moja ni vijisenti mkamjia juu,mama tibaijuka akasema ni hela ya mboga tu mkapaza sauti,sasa hukumu iliyosomwa wiki hii katika kesi ya mirathi inayohusu Dkt. likwelile imeonyesha alikuwa akimiliki mali za bilioni 4.

Aliwahi kuwa katibu mkuu hazina kwa kipindi kifupi ila muda mwingi amekuwa lecturer UDSM.

Kuna watu wanaila hii nchi,ila uzuri wakifa wanaziacha.

Tafuteni hela maisha sio magumu
Uchumi wa tz uko mikononi mwa watumishi ya umma walio sitafu na kufa nawalio bado makazini mali zawizi walizo kulimbikizia wakipokonywa zitatosha kujenga shule nchi nzima na vio na maji kila shule na kusambaza maji na kujenga kila kijiji kituo cha afiya
 
Hiyo ni thamani ya leo (rejea time value for money theory).

Lakini iwapo utaona initial costs wakati anajenga au ku-acquire utakuwa haikuwa kubwa hivyo.

Kwa wenye kujua hesabu za kifedha wataelewa.
 
Back
Top Bottom