With no doubt, Simba atapokonywa ubingwa.. Pia atapokonywa points ambazo alipata kwenye mechi walizomchezesha Morrison.Yanga akishinda itakuaje?
sidhani hii kesi ni Morison na Yanga na sio Simba na Yanga, anayestahili adhabu ni Morison kama hatoshinda.With no doubt, Simba atapokonywa ubingwa.. Pia atapokonywa points ambazo alipata kwenye mechi walizomchezesha Morrison.
Atapokonywa na nani?With no doubt, Simba atapokonywa ubingwa.. Pia atapokonywa points ambazo alipata kwenye mechi walizomchezesha Morrison.
Atapokonywa na nani?Morrison akishindwa nadhani simba itapokwa alama ktk Michezo waliomchezesha muhusika na akishinda nadhani itaishia hapo ila akiamua kufungua kesi dhidi ya Yanga ataweza pia.
Mlalamikaji akishindwa case closed.Je Yanga akishindwa?
Nami huwa nashangaa! Simba anahusika vipi hapo? Imemsajili akiwa mchezaji huru, kwa uthibitisho wa TFF.Atapokonywa na nani?
Simba anahusika vipi kwenye kesi yenu?
TFF walithibitisha kuwa morrison yupo huru, na usajili wake ulikuwa halali sababu TFF walithibitisha kwamba yupo huru.
Hujui kuwa sheria hizo zinawalinda wachezaji kuendelea kucheza vilabu wavitakavyo wakati kesi zao zikiendelea?
Yanga hatoambulia chochote
Yanga hawakubaliani na hio kauli ya TFF ndo maana wakaenda kushtaki FIFA na CAS.... Yanga wanasema bado walikuwa na mkataba na Morisson....Atapokonywa na nani?
Shirikisho linalosimamia mpira lilimtangaza kuwa mchezaji huru
Je ni kosa kumsajili mchezaji aliye huru kama ilivyothibitishwa na TFF?
Kosa linatoka wapi na mchezaji alishathibitishwa kuwa yupo huru? Ulitaka asicheze tangia mwaka jana mpaka mwaka huu yanga walipoenda kukata rufaa?Yanga hawakubaliani na hio kauli ya TFF ndo maana wakaenda kushtaki FIFA na CAS.... Yanga wanasema bado walikuwa na mkataba na Morisson....
Yanga akishinda, Simba watakuwa na kosa la kumchezesha mchezaji ambaye alikuwa na mkataba na timu nyingine
Kwahiyo Yanga ni wajinga wale mpaka kupoteza muda na hii kesi ? Amini nakwambia,, Kuna jambo hapaKosa linatoka wapi na mchezaji alishathibitishwa kuwa yupo huru?
Kwanini asaini mkataba wa Simba ilhali bado ana mkataba na Yanga ?Ulitaka asicheze tangia mwaka jana mpaka mwaka huu yanga walipoenda kukata rufaa?
Hawana budi, lazima wafate maagizo.... CAS ni kubwa kuliko TFFJe TFF hao hao waliosema kwamba yupo huru wana haki ya kumpora mtu point kutokana na maamuzi yao wenyewe?
Nimekuelewa sanaKosa linatoka wapi na mchezaji alishathibitishwa kuwa yupo huru? Ulitaka asicheze tangia mwaka jana mpaka mwaka huu yanga walipoenda kukata rufaa?
Unajua kuwa kuna sheria zinazolinda haki za wachezaji kutunza viwango vyao?
CAS hawatoi point, TFF atapaswa kumpokonya Simba point, Je TFF hao hao waliosema kwamba yupo huru wana haki ya kumpora mtu point kutokana na maamuzi yao wenyewe?
Je? Morison mwenyewe alisemaje kuhusu hilo?Kipindi kile TFF walidai signature ya Morisson ilifojiwa? Hiyo haiwezi kua shida kwa Yanga?
Dah ila kuitafuta mpaka kuja kuipata hii kesi Yanga vs Morrison unabidi uvimbe haswa maana imejificha ficha sana ukiingia website ya tas cas