Kama alisaini timu 2, kosa ni la mchezaji. Atawalipa fidia Yanga.Kwahiyo Yanga ni wajinga wale mpaka kupoteza muda na hii kesi ? Amini nakwambia,, Kuna jambo hapa
Kwanini asaini mkataba wa Simba ilhali bado ana mkataba na Yanga ?
Hawana budi, lazima wafate maagizo.... CAS ni kubwa kuliko TFF
Morrison alikua anacheza tennis au boxing?sidhani hii kesi ni Morison na Yanga na sio Simba na Yanga, anayestahili adhabu ni Morison kama hatoshinda.
Unakumbuka QUOTE ya mwisho ya TFF kuhusu mkataba wa Yanga na Morrison walisemaje?Atapokonywa na nani?
Shirikisho linalosimamia mpira lilimtangaza kuwa mchezaji huru.
Je ni kosa kumsajili mchezaji aliye huru kama ilivyothibitishwa na TFF?
Kwahiyo morrison naye ni mjinga? Morisson siyo mjinga mkuu sabab kacheza lig kubwa africa na anajua mpira ni kazi yakeKwahiyo Yanga ni wajinga wale mpaka kupoteza muda na hii kesi ? Amini nakwambia,, Kuna jambo hapa
Kwanini asaini mkataba wa Simba ilhali bado ana mkataba na Yanga ?
Hawana budi, lazima wafate maagizo.... CAS ni kubwa kuliko TFF
Maelezo ya mwisho ya TFF kuhusu mkataba wa Yanga na Morrison, Unakumbuka walisemaje?Atapokonywa na nani?
Simba anahusika vipi kwenye kesi yenu?
TFF walithibitisha kuwa morrison yupo huru, na usajili wake ulikuwa halali sababu TFF walithibitisha kwamba yupo huru.
Hujui kuwa sheria hizo zinawalinda wachezaji kuendelea kucheza vilabu wavitakavyo wakati kesi zao zikiendelea?
Yanga hatoambulia chochote
Kwani CAS wajibu wao ni kusikiliza kesi pekee au wanahusika na kutoa hukumu? Kama wanahusika na kutoa hukumu basi haiwezekani wapitishe hukumu halafu tff wasitekeleze. Kitu ambacho hakiwezekani. Na mfano Yanga wameshinda kisha hukumu ikatolewa kuwa Simba ipokonywe point kwa michezo waliyomchezesha Morrison Kisha tff wasifanye hivyo basi kitakachofuata ni kesi kufunguliwa na Yanga dhidi ya TFF. Swala zima ni hukumu ya kesi.Kosa linatoka wapi na mchezaji alishathibitishwa kuwa yupo huru? Ulitaka asicheze tangia mwaka jana mpaka mwaka huu yanga walipoenda kukata rufaa?
Unajua kuwa kuna sheria zinazolinda haki za wachezaji kutunza viwango vyao?
CAS hawatoi point, TFF atapaswa kumpokonya Simba point, Je TFF hao hao waliosema kwamba yupo huru wana haki ya kumpora mtu point kutokana na maamuzi yao wenyewe?
Atapokonywa na nani?
Simba anahusika vipi kwenye kesi yenu?
TFF walithibitisha kuwa morrison yupo huru, na usajili wake ulikuwa halali sababu TFF walithibitisha kwamba yupo huru.
Hujui kuwa sheria hizo zinawalinda wachezaji kuendelea kucheza vilabu wavitakavyo wakati kesi zao zikiendelea?
Yanga hatoambulia chochote
Rejea hukumu ya TFF hawakusema yupo huru walisema ana mkataba na Yanga wenye mapungufu hivyo wamejilidhisha anaweza kusajiliwa na team nyingineAtapokonywa na nani?
Shirikisho linalosimamia mpira lilimtangaza kuwa mchezaji huru.
Je ni kosa kumsajili mchezaji aliye huru kama ilivyothibitishwa na TFF?
Na mapungufu ya mkataba sio jambo linaloweza kufanya mkataba usiwe halali, kwa mapungufu yaliyo kuwepo mkataba ulikuwa halali kabisa, na TFF wakasahau kwamba Yanga wanaweza kwenda kwenye mamlaka ya juu zaidiRejea hukumu ya TFF hawakusema yupo huru walisema ana mkataba na Yanga wenye mapungufu hivyo wamejilidhisha anaweza kusajiliwa na team nyingine
1. Yanga wanafanya hivyo kukwepa aibu ya kukosa ubingwa, so watatumia kila mbinu.Kwahiyo Yanga ni wajinga wale mpaka kupoteza muda na hii kesi ? Amini nakwambia,, Kuna jambo hapa
Kwanini asaini mkataba wa Simba ilhali bado ana mkataba na Yanga ?
Hawana budi, lazima wafate maagizo.... CAS ni kubwa kuliko TFF
Mkataba sio halali sababu una mapungufu, hivyo mchezaji yupo huru kuchezea timu anayotaka.Unakumbuka QUOTE ya mwisho ya TFF kuhusu mkataba wa Yanga na Morrison walisemaje?
Kesi waliyopeleka yanga ni dhidi ya morrison.Kwani CAS wajibu wao ni kusikiliza kesi pekee au wanahusika na kutoa hukumu? Kama wanahusika na kutoa hukumu basi haiwezekani wapitishe hukumu halafu tff wasitekeleze. Kitu ambacho hakiwezekani. Na mfano Yanga wameshinda kisha hukumu ikatolewa kuwa Simba ipokonywe point kwa michezo waliyomchezesha Morrison Kisha tff wasifanye hivyo basi kitakachofuata ni kesi kufunguliwa na Yanga dhidi ya TFF. Swala zima ni hukumu ya kesi.
Aisee hizo ni sheria za huko utopolo labda. Mchezaji aidhinishwe TFF, CAF acheze mpaka champs league robo fainali halafu timu isiyohusika na kesi inyanganywe points, ubingwa? [emoji23][emoji23][emoji23]With no doubt, Simba atapokonywa ubingwa.. Pia atapokonywa points ambazo alipata kwenye mechi walizomchezesha Morrison.
Mkuu acha ushabiki zungumzia uhalisia, hukumu haikusema Morrison yupo free ilitoka kwamba ana mkataba wenye mapungufu, angekua huru hata CAS wasinge hangaika na kesi ya kijinga hivyo kumbuka mpka case ipangwe kusiliza hua wana jilidhisha kama kuna hoja za msingi1. Yanga wanafanya hivyo kukwepa aibu ya kukosa ubingwa, so watatumia kila mbinu.
2. Alisaini akiwa huru, maana kesi yake ilikuwepo TFF kabla ya league kuisha.
3. Kwamba simba watakubali? Utangaze wewe yupo huru alafu uje unipore tena point?
Unaposema anaweza kusajiliwa na timu nyingine una maanisha nini?Rejea hukumu ya TFF hawakusema yupo huru walisema ana mkataba na Yanga wenye mapungufu hivyo wamejilidhisha anaweza kusajiliwa na team nyingine
Weka link mkuu.Dah ila kuitafuta mpaka kuja kuipata hii kesi Yanga vs Morrison unabidi uvimbe haswa maana imejificha ficha sana ukiingia website ya tas cas
Hata sio kishabiki hapa.....Mkuu acha ushabiki zungumzia uhalisia, hukumu haikusema Morrison yupo free ilitoka kwamba ana mkataba wenye mapungufu, angekua huru hata CAS wasinge hangaika na kesi ya kijinga hivyo kumbuka mpka case ipangwe kusiliza hua wana jilidhisha kama kuna hoja za msingi
AS Vita imenyanywa ubingwa wa Congo kwa kosa gani kama una fatilia mpira, kipindi kile Mazembe aliondolewa akapewa ushindi Simba haikua champions league? Ujinga ni mzigoAisee hizo ni sheria za huko utopolo labda. Mchezaji aidhinishwe TFF, CAF acheze mpaka champs league robo fainali halafu timu isiyohusika na kesi inyanganywe points, ubingwa? [emoji23][emoji23][emoji23]
Basi hata as vita na wale wasudani watadai points zao [emoji23][emoji23][emoji23]
Bangi ni mbaya.AS Vita imenyanywa ubingwa wa Congo kwa kosa gani kama una fatilia mpira, kipindi kile Mazembe aliondolewa akapewa ushindi Simba haikua champions league? Ujinga ni mzigo