Kesi ya ZZK ina makosa mengi

Usijitoe akili dada mdogo hivi nafasi ya mwenyekiti wa CCM,hata iliyokuwa Tanu wenyeviti waligombea na nani leo hii Mangula yupo channel ten analalamika sana kuhusu waasi wa CCM wanaotaka kupora madaraka sasa demokrasia gani ya CCM unayoiota

nyie ndo mbulula kweli, hajakataa vikao visifanyike ila amekataa swala lake kujadiliwa na kamati ambayo maamzi yake ya kumvua uanachama aliyakatia rufaa
kwa hiyo cc waamue kwanza rufaa yake ndipo kamati kuu iendelee na utaratibu wake. nashangaa wanaojiita wasomi mnafuata mkumbo hata kama mtu mnamchukia ni vzr mkawa makini na hoja dhaifu kama hizi.
 

Wewe dada umekorogwa. Ulitaks TL, Wakili msomi akurupuke na kuanza kubishana na Layman JK pale uwanjani? Kwa akili yako, Msomi, Mwanasheria, na Wakili abishane na Maamuma wa Sheria, na Laymaman kuhusu sheria na utaalamu wa fani ya sheria kwenye hadhira ya Wasomi wenziyr ungeona ni sifa kwa Msomi?
 
Unaposema aodoke hichi chama akaanzishe chake kwani hapo ipo sio pake ni pa mbowe au mtei?
 
Nyani wapo wengi hapa na wote hawaoni, au hawajitazami huko unakosema! Wewe mwenyewe unasukumwa na ushabiki! Ukitaka kujitambua soma comment zako kule 'mahakamani!'

Mkuu sikatai kuwa na ushabiki, lakini mleta hoja kaja na hoja kuwa ile kesi imesukumwa kwa hisia bila ya facts wakati huo huo na yeye anasukumwa na ushabiki bila ya facts na kuanza kutoa tuhuma kwa mfungua kesi!
 
Niseme nakubaliana Na tuhuma kuwa anatumiwa Na Serikali Na ccm, lakini Ishu ya ruzuku za chama Na kugombea uenyekiti nazo alitumwa awashauri cdm wasizifanyie haki?Ili aje aziweke wazi? Mnyonge mnyongeni lakini haki yake apewe
 
Kabisa Mkuu Kitaja. Juhudi zao chungu nzima wenyewe wanaita propaganda za miaka nenda miaka rudi kuisambaratisha CHADEMA zimeshindikana sasa amebaki huyu kirusi msaliti mkubwa wamemuona ndio poneo lao la kuendelea kuyumbisha chama kuelekea katika uchaguzi wa 2015. Sasa mkono wa Ikulu na MACCM mengine utaendelea kutumika ili kuhakikisha juhudi za kirusi kuiyumbisha CHADEMA zinaendelea, hivyo badala ya kujizatiti katika mikakati ya kampeni za kuimarisha chama sehemu mbali mbali nchini kujiandaa kwa kampeni za uchaguzi ujao Viongozi wa juu wa chama wanapoteza muda na rasilimali chungu nzima na huyu kirusi msaliti mkubwa. Kwa sheria za nchi kesi hii haikustahili hata kusikilizwa bali kuitupilia mbali. Tusubiri hiyo Jumatatu tuone wataamua nini.

Kwa Tanzania hizi ndo kesi zinazopewa kipaumbele.siajabu kuna msukumo wa watu wazito nje ya CDM na kumtumia ZZK kuyumbisha chama.katika hili usitegemee kuwa kesi hii itatupwa kirahisi.
 
Last edited by a moderator:

Ataweza? si angekanusha leo? na nnakwambia hatoweza, si leo si kesho si wiki ijayo, kwani alifanya madudu walipokuwa Ikulu, akifanya su, utatolewa mkanda alivyoaibishwa Ikulu, na anajuwa hilo. Huoni alivyokuwa anajichekesha, hovyooo.
 
Wangapi wanaweka pingamizi nyumbba zao zisivunjwe mahakamani
 
Tamaa ya madaraka, fedha na utukufu ndiyo source. Ndiyo sifa za mwasiasa. Wote Mbowe, Slaa, ZZK pamoja na wewe ndicho mnachopigania
 

una mahaba na zito ww??
 
Mpaka hapa ilipo, Zitto kuzuwia tu leo Kamati Kuu isijadili kumfukuza uanachama ni ushindi mkubwa sana kwa Zitto. No matter Hakimu atoe uamuzi wowote ule mwingine, hata wa kuruhusu Kamati imjadili kumfukuza uanachama still ni ushindi kwa Zitto.

na wewe unaweweseka kama mwanamke aliyepewa talaka bila kutarajia! si wewe ndiye uliyekuwa unabwabwaja humu kuwa chadema hawawezi kumfukuza zitto? madrasa zinawaharibu akili, zitto kwa sasa ameisha: he is like a rotten potatoe! yeye si ni jembe lenu bana mwambie binamu yako mheshimiwa dr rais khalfani mrisho jakaya kikwete ampe uwaziri wa fedha si dr mgimwa kavuta box!
 
Unaposema aodoke hichi chama akaanzishe chake kwani hapo ipo sio pake ni pa mbowe au mtei?

Chama ni mali ya wanachama, we huoni hata yeye kaenda mahakamani akazuie asifukuzwe kingekuwa cha kwake si angegoma hata kama angefukuzwa, Hafu nikueleze, CCM ilikuwa ya Nyerere kama unavyodai CDM ni ya Mtei tatizo lenu mnajifanya vijana wa digitali wakati historia ya nchi hii huijui
 
Ataweza? si angekanusha leo? na nnakwambia hatoweza, si leo si kesho si wiki ijayo, kwani alifanya madudu walipokuwa Ikulu, akifanya su, utatolewa mkanda alivyoaibishwa Ikulu, na anajuwa hilo. Huoni alivyokuwa anajichekesha, hovyooo.

kama jk alivyoaibishwa na kagame alivyomwambia ana tabia za kujipendekeza kwa wazungu!
 
Mahakama ingekuwa tff,huyo msaliti angeshinda

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
ww huwezi kuwa cdm zaidi ya zzk na usijinasibu ju kuijua historia ya nchii hii mm ninauhakika hata historia tu ya familia yako huijui zaidi unacho jua ni chuki na visasi only
 
msomi gani anakataa kujadiliana kwenye vikao? na yeye zitto kama anajiamiani si angeacha vikao viamue! na wewe una mawazo ya kichovu tu, nani anamchukia zitto na kwa lipi?
 
kama jk alivyoaibishwa na kagame alivyomwambia ana tabia za kujipendekeza kwa wazungu!
WW MPUUZI SANA IVI UMEONA HIYO KAULI YA MPUUZI MWENZIO KAGAME NI YAMAANA SANA NANI ALIE MUABISHA MWEZIE KATI YA JK NA KAGAME? NENDA RUANDA,UGANDA NA DRC CONGO UWASIKIE WANAVYOMZUNGUMZIA JK JINSI ALIVYO WATIA ADABU WANYARUANDA(kagame) KWA KUWATWANGA M23 NA KUWARUDISHA KWAO WANYARUANDA WAHAMIAJI HARAM
 

Mpaka sasa wameweza kumfukuza? wacha kuandika utumbo.
 
Zito pambana usikubali kurudi nyuma pambana hadi vile vijisenti ulivyohongwa viishe, unadhania CHADEMA wanaiogopa makunyanzi....

Nakushangaa umekulia CHADEMA ila huifahamu CDM ilivyo na watu makini, wasomi, wasiokurupuka.

Ila hii kesi wakikupiga chini mwanangu nenda kaloge kama ulivyowahi kusema hatabakia mtu akikubip tu unaua familia yote.
 
Ataweza? si angekanusha leo? na nnakwambia hatoweza, si leo si kesho si wiki ijayo, kwani alifanya madudu walipokuwa Ikulu, akifanya su, utatolewa mkanda alivyoaibishwa Ikulu, na anajuwa hilo. Huoni alivyokuwa anajichekesha, hovyooo.


Hao waliomsuta TL ikulu wako wapi wasijitokeze wakaitetea ama kuirekebisha serikali na madudu yake?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…