Kesi za mauaji na kupotea kwa watu vimeshamiri. Serikali chukueni hatua

Kesi za mauaji na kupotea kwa watu vimeshamiri. Serikali chukueni hatua

JF Member

JF-Expert Member
Joined
Dec 14, 2014
Posts
7,914
Reaction score
10,793
Kama wewe ni mfuatiliaji wa taarifa za habari utagundua kwamba kati ya December 2021 na January 2022 kunaongezeko kubwa sana la mauwaji linaendelea hapa nchini na serikali iko kimya kabisa kama vile haijui.

Mauwaji yamekithiri sana kila kona ya nchi. Kuna keshi ya watu kutekwa na kunyofolewa figo. mauwaji ya wanafamilia. watu kujinyonga wenyewe, kunyongwa. watu kupotea kusiko julikana. watu kuvamiwa usiku na kuuwawa. Watu kuuwawa na kutelekezwa mitaloni.

Sambamba na hilo kuna wimbi la wizi limeongezeka sana; Wengi wanadai ni kwa sababu ya ugumu wa maisha na ulinzi hafifu. Maeneo yenye matukio ya wizi kwa sana ni Dar es Salaam na Tanga. Aina ya wizi unaotokea ni kukaba watu hasa mida ya giza, kuvamia majumbani na kupora vitu kama pesa, TV, Simu na kuua; Wizi wa mifugo na mazao. Wizi wa vifaa vya magari.

Serikali chukueni hatua hasa kipindi hiki cha mvua zinazonyesha.
 
Jana wanawake watatu wamekutwa wameuwawa nyuma ya hospitali ya buzuruga mwanza!!
 
Kama wewe ni mfuatiliaji wa taarifa za habari utagundua kwamba kati ya December 2021 na January 2022 kunaongezeko kubwa sana la mauwaji linaendelea hapa nchini na serikali iko kimya kabisa kama vile haijui.

Mauwaji yamekithiri sana kila kona ya nchi. Kuna keshi ya watu kutekwa na kunyofolewa figo. mauwaji ya wanafamilia. watu kujinyonga wenyewe, kunyongwa. watu kupotea kusiko julikana. watu kuvamiwa usiku na kuuwawa. Watu kuuwawa na kutelekezwa mitaloni.

Sambamba na hilo kuna wimbi la wizi limeongezeka sana; Wengi wanadai ni kwa sababu ya ugumu wa maisha na ulinzi hafifu. Maeneo yenye matukio ya wizi kwa sana ni Dar es Salaam na Tanga. Aina ya wizi unaotokea ni kukaba watu hasa mida ya giza, kuvamia majumbani na kupora vitu kama pesa, TV, Simu na kuua; Wizi wa mifugo na mazao. Wizi wa vifaa vya magari.

Serikali chukueni hatua hasa kipindi hiki cha mvua zinazonyesha.
Damu ya kipindi hiki haitatokana na ajali na majanga asilia...
 
Chukua taadhari

IMG-20220115-WA0055.jpg
 
Kama wewe ni mfuatiliaji wa taarifa za habari utagundua kwamba kati ya December 2021 na January 2022 kunaongezeko kubwa sana la mauwaji linaendelea hapa nchini na serikali iko kimya kabisa kama vile haijui.

Mauwaji yamekithiri sana kila kona ya nchi. Kuna keshi ya watu kutekwa na kunyofolewa figo. mauwaji ya wanafamilia. watu kujinyonga wenyewe, kunyongwa. watu kupotea kusiko julikana. watu kuvamiwa usiku na kuuwawa. Watu kuuwawa na kutelekezwa mitaloni.

Sambamba na hilo kuna wimbi la wizi limeongezeka sana; Wengi wanadai ni kwa sababu ya ugumu wa maisha na ulinzi hafifu. Maeneo yenye matukio ya wizi kwa sana ni Dar es Salaam na Tanga. Aina ya wizi unaotokea ni kukaba watu hasa mida ya giza, kuvamia majumbani na kupora vitu kama pesa, TV, Simu na kuua; Wizi wa mifugo na mazao. Wizi wa vifaa vya magari.

Serikali chukueni hatua hasa kipindi hiki cha mvua zinazonyesha.
Rais wenu Samia hana time na usalama wa maisha yenu, yeye yupo busy kuupiga mwingi na kurudisha jeshi la mafisadi serikalini.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom