kama inakuwa wamebakwa sawa. lakini kwa vibinti hivi vinavyo jishebedua na kujipeleka peleka kwa tamaa za maisha! mi sioni kama wanabebeshwa mimba ila wanajitakia wenyewe.kwani wanawake hawana akili? kitendo walichokubaliana wote wawili halafu sheria imuhukumu mmoja tu! labda tukubaliane wanawake niwapungufu wa akili.😛layball:Hivi kwa nini hizi kesi za wanaume kuwapa mimba wanafunzi mara nyingi zinaishia kwa mazungumzo ya kifamilia na hazifiki mahakamani na kama zikifika mahakamani wengi hawahukumiwi.
Maana kumpa mimba mwanafunzi kwa mujibu wa sheria unafungwa miaka 30 lakini toka hiyo sheria ipite miaka kama 10 iliypita sidhani kama waliofungwa wanafikia 50 wakati kila siku vibinti vinabebeshwa jazz band
Hivi imekaaje hii wadau?
kama inakuwa wamebakwa sawa. lakini kwa vibinti hivi vinavyo jishebedua na kujipeleka peleka kwa tamaa za maisha! mi sioni kama wanabebeshwa mimba ila wanajitakia(viherehere) wenyewe.kwani wanawake hawana akili? kitendo walichokubaliana wote wawili halafu sheria imuhukumu mmoja tu! labda tukubaliane wanawake niwapungufu wa akili.😛layball:
kwa sababu ni vimbelembele vyao vinawapelekea kupata mimba ndio maana hakuna mtu wa kufuatilia kesi.Hivi kwa nini hizi kesi za wanaume kuwapa mimba wanafunzi mara nyingi zinaishia kwa mazungumzo ya kifamilia na hazifiki mahakamani na kama zikifika mahakamani wengi hawahukumiwi.
Maana kumpa mimba mwanafunzi kwa mujibu wa sheria unafungwa miaka 30 lakini toka hiyo sheria ipite miaka kama 10 iliypita sidhani kama waliofungwa wanafikia 50 wakati kila siku vibinti vinabebeshwa jazz band
Hivi imekaaje hii wadau?
Hivi kwa nini hizi kesi za wanaume kuwapa mimba wanafunzi mara nyingi zinaishia kwa mazungumzo ya kifamilia na hazifiki mahakamani na kama zikifika mahakamani wengi hawahukumiwi.
Maana kumpa mimba mwanafunzi kwa mujibu wa sheria unafungwa miaka 30 lakini toka hiyo sheria ipite miaka kama 10 iliypita sidhani kama waliofungwa wanafikia 50 wakati kila siku vibinti vinabebeshwa jazz band
Hivi imekaaje hii wadau?
inawezekana hii reason uliyotoa nayo inachangia naona hii sheria inatakiwa kuangaliwa upyaHivi mnaposikia jela miaka 30 mnadhani mchezo. Hiyo sheria imekuwa ngumu kutekelezeka kutokana na ukali iliyo nayo. Wangefanya hata ka miaak 3 tu inatosha kumtia mtu adabu. Hiyo sheria ilitungwa kwa jazba na ndo mana wote walioshiriki kuitunga wanajisikia vibaya kwa makali iliyokuwa nayo.
hivi inakuwaje pale wanapopeana mimba both wakiwa madent!hii sheria ya 30 yrs selo iko applied hapa!au hii ikoje?