Keto weight loss tablets mlio jaribu tupeni matokeo

Nilijua K vant utaikataza kumbe yenyewe fresh tu
 
Kuna nyingine unakula kuku, samaki au mayai ya kuchemsha pamoja na salad 🥗 kwa lunch na dinner.

Breakfast ndizi mvivu moja na mayai mawili ya kuchemsha.

Maji ni muhimu.
hiyo ni kusema acha wanga wote na acha sukari zote, ni rahisi sana japo huwa watu huisi aiwezekani hiyo nimeona na nimeipata kwa bwana BOAZ MKUMBO na wengi wamepata matokeo makubwa na si katika uzito na vitambi tuu bali katika magonjwa yote ya lishe.
 
Looking forward to give out the feedback my love. Maji nakunywaga hata lita 3.5 per day.

Hapo nikiongeza na punje za vitunguu swaumu aaah, mambo safi[emoji28][emoji28]
 
Umetuokoa wengi, nina kilo 20 za kuziondoa ngoja nifanye hii mpaka Dec natumai zitakua zimetoka.
 
Hii ndiyo habari ya mjini, mlioijaribu tuelezeni matokeo.
View attachment 1144865
Siamini katika hili kbs;
Binafsi ni shuhuda wa mazoezi na diet,
Nimeanza mazoezi Jan 12 2019 nikifanya jogging 3kms baadae 8-12 kwa siku. Nimefanikiwa kupunguza 12 Kg.

Nimepunguza kula vyakula vya sukari, wanga na mafuta. Kimsingi portion ya menu pia nimepunguzq kbs na usiku mara nyingi nakula matunda au glass ya mtindi.

Kinywaji ni wine hasa Drosthoff tena occursionally mara 1 baada ya wiki mbili.

Kila ninaposafar nahakikisha nina nguo zangu za jogging na najutahidi kufanya hivyo nikiamimi ndio mafanikio ta afya yangu.

Nimepunguza kabisa mwili hususani tumbo sema hasara ninayokutana nayo ni nguo nyingi kunipwaya nalazimika kununua nguo mpya zinazonitosha.

Wana-encourage mazoezi kuliko hizo keto sijuiii...

Nawasilisha!
 
Stress huwa zibanipa challenge sana. Nikiwa na stress ninakula na kunywa mpaka msala uishe ninajikuta niko kwenye 88-90 kg mbaya zaidi BP inakuwa juu lakini nikishuka kwenye 75-80 BP is normal.
Pole sana jitahidi kupata mda wa kutembea tu angalau dk 30 kwa siku utakuwa sawa kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…