Keto weight loss tablets mlio jaribu tupeni matokeo

Mrejesho nimetoa kilo 5 ndani ya wiki mbili
Breakfast:
two boiled eggs with fruit slices

Plenty of water to drink

Lunch @16:00
Any thing with salad .

Half an hour walk daily
umekazana kweli
hongera
mimi sasa hivi namaintain
 
Wanga sio nzuri usiku. Unatakiwa kula wanga aidha asubuhi au mchana na usiku matunda au mtindi. Vingine ni sawa
 
Wanga sio nzuri usiku. Unatakiwa kula wanga aidha asubuhi au mchana na usiku matunda au mtindi. Vingine ni sawa
Wanga hasa ule asubuhi ikibidi, mchana wanga kidogo Protein nyingi jioni kipande cha kuku au samaki na matunda
 
Eeh Mungu nipe nguvu za kuacha wali.
Unavyofanya nafanya karibu vyote plus mazoezi lakini napungua taratibu sana labda wali ndio tatizo
 
Eeh Mungu nipe nguvu za kuacha wali.
Unavyofanya nafanya karibu vyote plus mazoezi lakini napungua taratibu sana labda wali ndio tatizo
kupungua taratibu ndo vizuri ili nyama zisitepete, ukitumia dawa zile zakuharisha unapungua faster but madhara ka yote nyama za mwili utazibeba kuziweka kwenye nguo hahaahaaaa
 
Eeh Mungu nipe nguvu za kuacha wali.
Unavyofanya nafanya karibu vyote plus mazoezi lakini napungua taratibu sana labda wali ndio tatizo
Wali/viporo
Juice/soda/bia
Mm nakulaga vijiubwabwa kiduchu mboga tele
Na hata ukila basi usishibe
 
kupungua taratibu ndo vizuri ili nyama zisitepete, ukitumia dawa zile zakuharisha unapungua faster but madhara ka yote nyama za mwili utazibeba kuziweka kwenye nguo hahaahaaaa
Mi sitaki sasa hivyo kupungua huku uso unakosa nuru na manyama kushuka
 
Wali/viporo
Juice/soda/bia
Mm nakulaga vijiubwabwa kiduchu mboga tele
Na hata ukila basi usishibe
Viporo sili ila wali nakula karibu kila siku na wala sili sana.
Bia sinywi na soda pia.
Nahisi mchawi wangu ni wali
 
Aisee Mie nilianza mazoezi ya kukimbia na kutembea Kila siku jioni ili nikonde ila niliishia njiani sababu sili mbogamboga zaidi ya kisamvu, pia ni muumini mzuri wa Wali na maharage sasa sijui itakuwaje
 
Eeh Mungu nipe nguvu za kuacha wali.
Unavyofanya nafanya karibu vyote plus mazoezi lakini napungua taratibu sana labda wali ndio tatizo
Mchawi wali tena wali wa usiku

Wali ndondo[emoji39]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…