ukiendelea njaa itapungua sanaLabda wameishia njiani.... ka njaa kanauma ila tumbo nalisikia jepesii
umekazana kweliMrejesho nimetoa kilo 5 ndani ya wiki mbili
Breakfast:
two boiled eggs with fruit slices
Plenty of water to drink
Lunch @16:00
Any thing with salad .
Half an hour walk daily
Wanga sio nzuri usiku. Unatakiwa kula wanga aidha asubuhi au mchana na usiku matunda au mtindi. Vingine ni sawaNahisi mnatafuta vidonda vya tumbo.
kuna mdada ninapofanyia kibarua kila siku anabadilisha mimaji ya sijui:-
Hiliki
Mdalasini
Mara matango
Mara diet
Mara malimao ajikondeshe lakini waaapi [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] anaendelea kuwa chibonge [emoji1][emoji1][emoji1] nidhamu ya kula hana atapunguaje??
Achaneni na hiyo midawa fanyeni mazoezi ya mepesi ya kukimbia kwa dk 20 huku umevaa jaketi siyo kawoshi wala singlendi ili mwili uvuje jasho la kutosha na kunywa maji ya mengi. Kula vyakula vyenye wanga kigodo na matunda mengi.
Menu ya mchana kama unafanya kazi ofisini kula matunda tu na maji mengi, usiku wanga kidogo na mbogamboga au white meat (kidongo) achana na bia, soda na juisi za viwandani ila vinywaji vikali ruksa kama ni lazima saaana
matokeo ni baada ya wiki 3 hadi 4,
Usisahau kikombe kimoja cha maji ya moto yenye limao kila asubuhi.
Eeh Mungu nipe nguvu za kuacha wali.Niliacha kutumia
-Soda/vinywaji vyote vya kiwandani
-Vitu vyote vinavyotengenezwa na ngano
-Wali
-juice yoyote ya matunda ya kutengeneza
-Vitu vyenye sukari nyingi (hii haikunisumbua maana hata mimi sivipendi)
Asubui nakunywa maziwa tu
Mchana nakula mboga za majani na ugali kidogo/Nyama ya kuku maana ya Ng'ombe pia niliiacha/Samaki
-Katika mboga siweki mafuta mengi
Usiku nakula Tango,Parachichi nalala
Katika kutwa yangu nzima lazima Maji lita2, machungwa mawili
Week1 tumbo lote likaisha .. nikivaa sasa hivi nakua kama nmevaa mkanda wa kubana tumbo
Toka kilo 70 mpk 62 now, najiskia mwepesi ajabu
kupungua taratibu ndo vizuri ili nyama zisitepete, ukitumia dawa zile zakuharisha unapungua faster but madhara ka yote nyama za mwili utazibeba kuziweka kwenye nguo hahaahaaaaEeh Mungu nipe nguvu za kuacha wali.
Unavyofanya nafanya karibu vyote plus mazoezi lakini napungua taratibu sana labda wali ndio tatizo
Wali/viporoEeh Mungu nipe nguvu za kuacha wali.
Unavyofanya nafanya karibu vyote plus mazoezi lakini napungua taratibu sana labda wali ndio tatizo
Mi sitaki sasa hivyo kupungua huku uso unakosa nuru na manyama kushukakupungua taratibu ndo vizuri ili nyama zisitepete, ukitumia dawa zile zakuharisha unapungua faster but madhara ka yote nyama za mwili utazibeba kuziweka kwenye nguo hahaahaaaa
Viporo sili ila wali nakula karibu kila siku na wala sili sana.Wali/viporo
Juice/soda/bia
Mm nakulaga vijiubwabwa kiduchu mboga tele
Na hata ukila basi usishibe
so pungua taratibu mamaMi sitaki sasa hivyo kupungua huku uso unakosa nuru na manyama kushuka
KweliWanga hasa ule asubuhi ikibidi, mchana wanga kidogo Protein nyingi jioni kipande cha kuku au samaki na matunda
Mchawi wali tena wali wa usikuEeh Mungu nipe nguvu za kuacha wali.
Unavyofanya nafanya karibu vyote plus mazoezi lakini napungua taratibu sana labda wali ndio tatizo
Wali ndondo na samaki wa nazi.Mchawi wali tena wali wa usiku
Wali ndondo[emoji39]
acha kabisa uwezaje kuacha ulalie matango..utakua unauota usiku ukilala unashtuka yule samaki wa nazi[emoji23]Wali ndondo na samaki wa nazi.
Tunenepeane tu