Kevin De Bruyne: Mpishi wa mabao ya Man City EPL asiyeimbwa

Nilijua huu Uzi umeuchapisha Jana...
Kumbe upo humu tangu October..!
Hakika wewe ni mpenzi wa soka..!!!
 
Na humasikii kwenye top 3 ya fifa afu tuseme fifa wako fair hapana kabisa
FiFA wale si kitengo cha biashara tu wanapewa maelekezo tu nani awe mchezaji bora ndio maana kila siki utawaona hao wawili tu mpaka tumechoka. Kuna wachezaji walikuwa ni balaa kama Xavi eti hajawahi kuwa mchezaji bora duniani pamoja na kuifanya Spain kuwa bingwa wa dunia na ulaya na pia kuifanya midfield ile ya Barca kuwa moto yeye na Iniesta.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…