Hahaha! Mpwa nimeipenda hiyo red.
du na wewe ni mmoja wao unajuaje ni kulala kwa zamu?Mbona huko hamna kulalala au kulala kwa ZAMU?
te te te! Mimi, Kyachakiche, itei tei lya kite, nka o nsungu, mangi etc wote hao kutoka kule kule b'ba 'angu eeh, nafikiri kwenye kale ka thread ka watu waliokuwa wanasema dada zetu hawajui kitu penzi tulivyokuwa wakali kama pilipili.
Mimi siyo 1 wao na sitakuwa mtumwa wa sifa! shahidi yangu ni Melo, Fidel80, YO YO na Mkemia mkuu wa TBL Chrispin
Kumbe na wewe ni mwenzetu kwenye ile list?? ha! ha! kweli hapa nchini tumeenea kama WACHINA ila sisi siyo fake kama wao....
Kwenye kubeba mabox nadhani tutakuwa hatupo. Hahahah!
Mkuu Hesima kwanza!
Wengine japo tuko humu mavumbini Kijerumani nacho kinapanda labda uchanganye ki-Hebrew ndio utanishutua
Ha ha ha ha, wanatishia kuchanganya kizungu na kijerumani ili kutushtua kuo wako mbaaaaaaaaali, kumbe wote sawa tu, kwa taarifa yake ukienda kwetu moshi mapota wanapandisha milima wazungu wanakiongea kuliko hata wazungu wenyewe LOL!
Mkuu data tunazo hadi picha wakitaka walalamike mpaka na majina na mageto wanayobebena mtu 6 kigodoro cha 2x4
Mkuu data tunazo hadi picha wakitaka walalamike mpaka na majina na mageto wanayobebena mtu 6 kigodoro cha 2x4
Jamani huku kugumu wala msidanganyike
Ignorant schadenfreude.
Ila tu naomba msiongelee vile vyeti vyetu feki!
Mkuu data tunazo hadi picha wakitaka walalamike mpaka na majina na mageto wanayobebena mtu 6 kigodoro cha 2x4