Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 48,055
- 116,512
Makampuni yote yamempa Yanga ushindi tena wakishindo kama election ya 2020Haya njoo na list ya makapuni ya kubeti iliyothubutu kumpa Mamelod asilimia kubwa ya ushindi mbele ya Yanga.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Makampuni yote yamempa Yanga ushindi tena wakishindo kama election ya 2020Haya njoo na list ya makapuni ya kubeti iliyothubutu kumpa Mamelod asilimia kubwa ya ushindi mbele ya Yanga.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kule Mamelody vijana wote ni buheri wa afya
Mkaa bench huwezi mlinganisha na mchezaji anaeanza kila game, si ndo akina Miqiuson waliokua wanakaa bench al ahly na kiwango kikaporomoka.Mambo mengine ni kujifariji tu mchezaji anae kaa benchi Al Ahly utamlinganisha na mchezaji anae anza huku kwenye timu zetu?
AaahaaaJambo ambalo litawafanya watu wakose sababu kuwa kwavile fulani hakuwepo.
Na wala sio simba hao ambae alipigwa kono la nyaniHao sio Medeama ndugu yangu.
Kushinda hiyo mechi sio rahisi kama unavyodhani.
Ubora wa timu unaupimaje?Kwenye football Siku zote timu bora ndio inayopewa nafasi kubwa.
Mamelody ni timu bora dhidi ya Yanga. Karata ya ushindi lazima iende upande wa Mamelody.
There you are, kama Miqiuson alikua panga pangua Simba kule kakosa number ndio ujue kua hakuna nafuu yoyote hata wakipanga kikosi B bado kazi tunayo kwenye bench la Al Ahly hakuna kina Kennedy wala ChasambiMkaa bench huwezi mlinganisha na mchezaji anaeanza kila game, si ndo akina Miqiuson waliokua wanakaa bench al ahly na kiwango kikaporomoka.
Hapa inajadiliwa Al Ahly na Simba.Kule Mamelody vijana wote ni buheri wa afya
We ni mpumbavuView attachment 2942402wameyakanyaga round hii🤣
SawaWe ni mpumbavu