Hapo pekundu napakosea neno.
Mara nyingi nimegundua sisi wanawake tunakimbilia kuwalaumu wanawake wa nje wa waume zetu.
Kuna mtu alikua anafikiria kila mbinu za kumkomoa mwanamke wa nje wa mumewe,nikamwambia hiyo siyo dawa wa kupambana naye ni mumeo,akasema kamwe hawezi kugombana na mmumewe bali atawakomesha wanaomuibia mumewe.
Baadhi ya hawa waume wanafanya ndio wakulaumiwa,wengine wanatongoza wanawake huko nje wakisema wako singe na siku hizi wanaume wengi tu hawataki kuvaa pete zao za ndoa,kabla ya kuwalaumu hawa wanawake wa nje tujiulize huwa wanaambiwa nini na waume zetu hadi wanakubali kujiamini kuja hadi vyumbani mwetu,japo wapo wanawake makauzu hata akijua huyu ni mume wa mtu hajali ila wapo ambao wanadanganywa kuwa sina mke na vitu kama hivyo.
Kwenye kesi kama hii wakulaumiwa ni mume tu na sio mtu mwingine yoyote yule.
Halafu mi naona kama hawa wanaume wanapata kichwa maana kosa afanye yeye halafu lawama zielekezwe kwa mwingine no wonder hawacheat tena na tena.
Aksante qeenkami umenifungua macho. Ni kweli kabisa kuwa mwanaume ndie wa kulaumiwa ...especially pale ambapo amakuwa ameificha marital status yake BUT pale ambapo alishaweka wazi kuwa ameoa, na wewe unayeletwa nyumbani unakumbuka kabisa kuuliza ..........Kwani mkeo yu wapi leo hata unipeleke kwako?. inanitia mashaka.
Kigezo kuwa ni kosa la mwanaume kwa kuwa yeye ndo anatakiwa kuelewa kuwa ameoa na anatakiwa kuiheshimu ndoa yake sidhani kama linanivua mie kosa............as long as ninajua kuwa AMEOA, inanipasa niituze heshma na hadhi yangu mimi kama mwanamke...sihitaji kujustify kuwa umekuwa muwazi au but as long as ninajua umeoa na nikakubaliana nawe (hapa naweka stop) sitopenda unipeleke kwenye kitanda cha mkeo!
3963674]Kwa nini unadhani ni aibu ya mwanamke tu? Na si mwanamme ambaye kakuoa tena labda kanisani au msikitini?
Kwa nini unambebesha lawama mwanamke peke yake?
Tena mie wa ambiance nitakasirika zaidi ila kama ni mwanamke decent angalau nitavumilia.
Swali, hivi mwanamke hawezi mpenda mwanamme aliyeoa? Naamanisha kupenda na si kwa ajili ya kujinufaisha na faida yeyote.
Halafu nitaendelea na ninachofikiri.[/QUOTE]
na
............ Mamito, aibu si ya mwanamke tu lakini in a sisterly love and care, tunajidhalilisha sie especially kama tunajua wazi hali halisi kuwa this is somebody's husband................... tukumbuke kuwa yeye atachuikuliwa kama kidume wakati wewe, ambaye umeletwa utachukuliwa kama Ma.laya tu ulokuja kuiba tu.............. kwa nini asikulete wakati mkewe yupo, tukaona u-dume wake wa kumlaza mkewe sebuleni kwenye kochi na kukuacha wewe kimwana ukijivinjari katika kona zote za sita kwa sita??
Mwanamke decent hadi akapendwa atakuwa ameelezwa hali halisi na kama kweli ni decent katu hatokubali kuletwa kwenye kitanda cha mke halali!