MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,580
- Thread starter
- #141
kwani Eiyer COLD WAR NI UJINGA!??? hebu nifafanulie hapo ujinga unakujaje, kama nimeamua kuwa SILENT! lengo ni ujiulize mwenyewe, ujikalishe kikao mwenyewe, ujijibu mwenyewe, na kutafuta solution mwenyewe, Sababu kubwa ni kwamba, wakati unaanza ulianza mwenyewe na huyo nyumba ndogo yako, sasa iweje leo nimejua TUSHIRIKISHANE??? ulianza mwenyewe, basi MALIZA MWENYEWE! mimi ni MKEO na nitabaki MKEO MILELE!
cacico, nimeipenda hii post yako, hasa pale anapoona kaharibu kisha aja na kuanza kukuomba mshirikiane kuificha aibu kwa kuwa nyie ni familia!! Ila hapo kwenye red mpenzi utabaki hata kama kamleta kitandani mwako? achilia mbali umejua kuwa anakucheat?