Khaaaa!!Kwani ni lazima?

Kipipi,sijalikwepa swali lako ungenielewa ingekua poa zaidi.Sijakosea kusema ni ujinga kwa mwanamke aliye kwenye hali ya maisha niliyotaja!
 
Labda kwa sababu future is not certain hivyo hakuna huruma...ni kuchuna tu...kwanza hata uhakika kama yuko peke yake hana...kinachobaki ni kukomoana tu. Lol.

Kweli tupu kabisa . . . . . . . .
 
Labda kwa sababu future is not certain hivyo hakuna huruma...ni kuchuna tu...kwanza hata uhakika kama yuko peke yake hana...kinachobaki ni kukomoana tu. Lol.

Na afadhali mmeyasema wenyewe leo....tunaumia mjue lakini mwanaume wa kiafrica utaanzaje kumwambia kichuna chako stop............Ni jukumu lake (kwa maana ya binti mwenye kichwa kinachofanya kazi) kwamba kwa hili hapana.

Na ajabu zaidi wakati mwingine hata hajishughulishi kukuuliza B/F wangu vipi kazi/biashara zinaendaje na angalau ushauri wa hapa na pale.....

Kuna wengine wanasema "si nyie ndio mmeweka utaratibu" alaah, siku zote si kinadada wanasema wako sawa na wanaume kwa nini kwa hili wasijiongeze! au mpaka mwanaume atoe mwongozo wa kustopisha!
 

jamani its true wadada wa mtindo huu wapo wengi sana. Nitoe mfano ambao mim binafsi ulinikuta...nilim-meet mdada mmoja yuko chuo mwaka wa pili, basi tukazoeana, mie nikamuintruducia kuwa nampenda na namtaka, kiukweli nilikuwa na Long plan na yeye, sikuwa na nia ya kumtumia na kumuacha. nikamwambia kabisa nia yangu na kama haitoshi nikamwambia plan zangu juu yake ni nin, sasa wakuu cha kuchosha na kufedhehesha, mtoto nilikuwa namtoa out za kufa mtu, then nam-drive back anapokaa bt simpi hela as for me i was looking for a wife materialy n not kicheche. wakuu imagine nimemtoa out kala anachotaka na kunywa anachotaka, namrudisha nikishamdroap nipo skan mara sms inaingia ooh nina shida plz naomba like 20,000/. ok nikasema si kitu nikamrushia kwa M-pesa, tumekaa siku mbili, ooh naomba hela ya saluni 30,000 ...mh nikampa, ok mara vocha sina plz naomba vocha nikamtumia ya buku 5, kumbuken hapo sijala wala hata kumkiss as nilikuwa na plan naye na i was looking tabia yake kwanza. ok siku moja si nikaomba japo kumkiss.....lol asiwaambie mtu, mtoto akaanza ooh kwanza mie nina boyfriend n nimekuelewa ombi lako but kama ulivosema now tunachunguzana kwanza kabla ya kuingia kwa commitment...oooh God have Mercy, kam una boyfriend n mim unanibania why kuniomba omba fedha, na hapo outing za nguvu umepata, why dont u go to that boyfriend of urs akupe hizo hela...?wakuu nilikata mguu mara moja na kuachana naye...sasa hawa ndo type ya kina dada wanaopenda kupewa hela tu...shame on them!!!
 

dah, nimekuwa impressed na jinsi huyu dada alivyokuwa anajua kupinga mizinga systematically kwa design ya 'chuma ulete' teh teh teh
 
nahisi nna damu ya kipare, demu hali hata sh.kumi angu
 
dah, nimekuwa impressed na jinsi huyu dada alivyokuwa anajua kupinga mizinga systematically kwa design ya 'chuma ulete' teh teh teh

Ukimuona sasa jinsi anavoonekana mtakatifu machoni huwez hata ukadhania ana akili matope hivo...naona alifikir mie ni kale kam-mnyama kanachopatikana Vingunguti... wakuu nikaona nijitoe tu kuepusha msongamano
 
Ukimuona sasa jinsi anavoonekana mtakatifu machoni huwez hata ukadhania ana akili matope hivo...naona alifikir mie ni kale kam-mnyama kanachopatikana Vingunguti... wakuu nikaona nijitoe tu kuepusha msongamano

Too bad mdada mwenyewe alikuwa anasema ameokoka na anasali pale Efatha...wakuu hii tabia ya kupenda hela kwa wadada kwa baadhi yao ni kitu kiko damuni, kwa wao ukishapata mwanaume then unahamisha matatizo yako yote kwake....wanafikiri mwanaume ni ATM machine tena isiyo na pasword wala limit ya kudraw...wanabore sana kwa kweli
 
Kuna girlfriend wa bwana mdogo wote wametoka chuo na bado hawajapata kazi lakini huyu dada kila siku unamtumia sms please recharge me or call me mara naomba nauli niende kusalimia ndugu kigoma, na asipotumiwa ni sms za mafumbo tu.
 
Ingawa si wote, wadada wengine wanakera bana. Mmepanga mkutane sehemu, then anakuja na tax na akifika, unaitwa ukalipe gharama (japokuwa anafanya kazi nzuri tu na ana uwezo wa kujilipia mwenyewe...)
 
Unadhani..ndio maana magube gube wengi...waoaji wanakata tamaa. Najaribu kuangalia ningekuwa mwanaume ni jinsi gani ningekuwa selective...

Watatumiwa sana wakizeeka wataanza wao sasa kuonga vijana wapate ngono. Si tunawaona?. Unadhani kuchuna ni kazi ya kudumu? Wakifika 40 tu hakuna wakuwapa hata chips.

 

Kweli kabisa Nyumba Kubwa, nilikuwa na nia naye but nilikata mguu kabisa, baada ya like 5 days baada ya kukata mguu na mawasiliano ananipigia ooh nimekumiss...nikajiambia huu 'wizi mtupu'...nikamjibu poa kisha kwaheri...mpaka leo sijamsalimu.
 
dah, nimekuwa impressed na jinsi huyu dada alivyokuwa anajua kupinga mizinga systematically kwa design ya 'chuma ulete' teh teh teh

Dah!Na jamaa nae boya. . . .Lol!
 
Kipipi,sijalikwepa swali lako ungenielewa ingekua poa zaidi.Sijakosea kusema ni ujinga kwa mwanamke aliye kwenye hali ya maisha niliyotaja!

Eiyer kwani kukuelewa ni lazima niendane na idea yako??
Mie nimeuliza kaswali kamoja tu sijui kwanini kameleta shida??
 

Alafu ati wanaume na wanawake ni sawa? wapi bwaaana! bado saaana huku makwetu.
 
Mwenzenu sijasoma kurasa zote za uzu huu,nauliza tu , hivi @ hii thread @ smile kaiona?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…