Khaaaaa!!!!!Jamani viacheni vibinti visome!!

Mwalimu mdogo mdogo tusije kuishia kule kwa mweusi muarabu
 
Dunia hadaa ulimwengu shujaa, Hii ndo inaitwa kua uyaone. Mambo yanayotendeka cku hizi ni ya ajabu ajabu 2, huwa nafikiria namna nitakavyo walea hawa mabinti zangu wasiangukie katika mikono ya mabazazi km hao.
 
Mwalimu mdogo mdogo tusije kuishia kule kwa mweusi muarabu

Hahaha Kimey....karibu watu wataweka "Onyo: Si ruhusa kwa Gaijin kuchangia mada hii."

Lakini acha niendelee hadi watakavyofanya hivyo.

Kukumbushana na kukosoana ni wajibu wa kila raia halali wa Tanzania
 
E bwana acha Eiyer ..kwanza nawaza katoto kangu miaka kumi na tatu kanaaga mama natoka leo sitarudi
aaaaaaaaaaaaaagh...nitakaning'iniza .

Mchicha hauwezi kuota kama haukupandwa!
 
Dunia hadaa ulimwengu shujaa, Hii ndo inaitwa kua uyaone. Mambo yanayotendeka cku hizi ni ya ajabu ajabu 2, huwa nafikiria namna nitakavyo walea hawa mabinti zangu wasiangukie katika mikono ya mabazazi km hao.

Dunia hadaa ulimwengu chuo kikuu!
 

Yawezekana sio mdogo kama unavodhania.
Ukiniona unaweza dhani niko under 18 vile,ni umbo la mtu tu.
Mama yangu sasa yuko kwenye early 50's lakini watu hudhani yuko kwenye late 30's.
Unless unamjua huyo binti,usi mjaji.
 
Huwezi kutoa ambacho huna.Hakuna maadili na kizazi hakiwezi kuwa na maadili
 
Gaijin,nimekuambia kuwa sikupanga sababu kulingana na ubora,pia kwa mujibu wako sababu kama za kiafya sio muhimu ila kuvunja sheria ni muhimu!
 
Gaijin,nimekuambia kuwa sikupanga sababu kulingana na ubora,pia kwa mujibu wako sababu kama za kiafya sio muhimu ila kuvunja sheria ni muhimu!

Hukupanga sababu na ndio maana zikatoka kwa aina ile kwa sababu hivyo ndo unavyofikiria kwenye kichwa chako. Tukubali kuwa kwa Watanzania, sababu za kisheria sio za msingi kwenye maamuzi ya matendo yetu.
 
Yawezekana sio mdogo kama unavodhania.
Ukiniona unaweza dhani niko under 18 vile,ni umbo la mtu tu.
Mama yangu sasa yuko kwenye early 50's lakini watu hudhani yuko kwenye late 30's.
Unless unamjua huyo binti,usi mjaji.

"Unbilivable excuses"
 
Vibinti vyenyewe vikware na utakuta vingi ni mazao ya uzinifu wa mama zao, wanakuwa na single parent ambae yeye mwenyewe anategemea kuuza mwili wake ili maisha yaende, binti akifika balehe tu hata kama hajafika umri wa kisheria wa kuingiliwa, huulizwa, "enhee huko ulikotoka leo umeleta nini?", Kuna kusoma hapo? wengine huvaa nguo za shule ili kuvutia wateja na wanakuwa wala si wanafunzi, na kweli wapo hata wanafunzi wafanyayo hayo.

Kula uliwe!
 
Hukupanga sababu na ndio maana zikatoka kwa aina ile kwa sababu hivyo ndo unavyofikiria kwenye kichwa chako. Tukubali kuwa kwa Watanzania, sababu za kisheria sio za msingi kwenye maamuzi ya matendo yetu.

Yes nilichokua nafikiria hukijui na utabaki kubashiri tu!And guessing can be wrong!Sheria sio mwalimu mzuri kwenye tabia zinazosababishwa na malezi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…