Mwalimu mdogo mdogo tusije kuishia kule kwa mweusi muarabuNinachotaka kusema ni kuwa, si yeye wala si wewe mnaojali sheria.
Umeona point ya kuwa KWANZA hajui kuoga ina umuhimu kuliko kuwa akifanyacho ni kinyume na sheria
Na maadam tunachojali zaidi ni staarehe badala ya sheria, haya mambo hayataisha leo wala kesho
Mwalimu mdogo mdogo tusije kuishia kule kwa mweusi muarabu
Dunia hadaa ulimwengu shujaa, Hii ndo inaitwa kua uyaone. Mambo yanayotendeka cku hizi ni ya ajabu ajabu 2, huwa nafikiria namna nitakavyo walea hawa mabinti zangu wasiangukie katika mikono ya mabazazi km hao.
Aaaaarrggrh!Nimekerwa sana alfajiri ya leo baada ya kumuona jamaa mmoja nikiwa nafanya mazoezi akikatoa kabinti kadogo sana kukasindikiza kwao,inaonekana alilala nako.Hivi wanaume sisi hivi vibinti vya darasa la saba,form one,two,three na 4,vina raha gani tofauti na karaha?Kwanza havijui kuoga,vinanuka mikojo havijui mapenzi,halafu ni kinyume na sheria,nyie mnaodeal na hivi vitoto,viacheni visomeeeee!Aaaaggghhrr!!
I have got the answer............Use your mind!
Kiongozi hapo kwenye RED umejuaje?
Gaijin,nimekuambia kuwa sikupanga sababu kulingana na ubora,pia kwa mujibu wako sababu kama za kiafya sio muhimu ila kuvunja sheria ni muhimu!
Yawezekana sio mdogo kama unavodhania.
Ukiniona unaweza dhani niko under 18 vile,ni umbo la mtu tu.
Mama yangu sasa yuko kwenye early 50's lakini watu hudhani yuko kwenye late 30's.
Unless unamjua huyo binti,usi mjaji.
Unataka kusema kwamba nayeye anawala hao hao ndio maana kayajua yote?
Hukupanga sababu na ndio maana zikatoka kwa aina ile kwa sababu hivyo ndo unavyofikiria kwenye kichwa chako. Tukubali kuwa kwa Watanzania, sababu za kisheria sio za msingi kwenye maamuzi ya matendo yetu.