Khaaaaa!!!!!Jamani viacheni vibinti visome!!

Khaaaaa!!!!!Jamani viacheni vibinti visome!!

kwanza huyu jamaa alikuwa hafanyi mazoezi........ukisoma kwa makini thread yake mtagundua hilo....
 
Sasa na wewe umejuaje kama jamaa katoka kula mzigo?
Usikute nao wako kwa mazoezi kama wewe ila ya kutembea!
 
Aaaaarrggrh!Nimekerwa sana alfajiri ya leo baada ya kumuona jamaa mmoja nikiwa nafanya mazoezi akikatoa kabinti kadogo sana kukasindikiza kwao,inaonekana alilala nako.Hivi wanaume sisi hivi vibinti vya darasa la saba,form one,two,three na 4,vina raha gani tofauti na karaha?Kwanza havijui kuoga,vinanuka mikojo havijui mapenzi,halafu ni kinyume na sheria,nyie mnaodeal na hivi vitoto,viacheni visomeeeee!Aaaaggghhrr!!

na bora uwaambie halafu co hao tu yaani hapa mtaani kwetu yaani umezuka mtindo wa wanafunzi wa chuo waliopanga mitaani kutembea na vitoto vya primary yaani inakera puuu!!
 
Na hicho kitoto kwao kiliaga kinaenda wapi mpaka kikaruhusiwa kutoka..?????
Kumbe kweli maadili yanaanzia home ..

Umejuaje kuwa kiliaga? Huenda hata wazazi hana na anayemlea ndiyo hivyohivyo ... Huenda katumwa na mlezi katafute chochote tuje tujikimu ... Huku uswahilini jamaani kuna mengine ni magumu kuyaelezea yanavyokuwa.
Ila lamsingi huyo mwanaume anatakiwa kuwa na huruma kwa hivyo vitoto ... Akikapa mimba anaruka futi mia ...! Wanaume wengine ...
 
na bora uwaambie halafu co hao tu yaani hapa mtaani kwetu yaani umezuka mtindo wa wanafunzi wa chuo waliopanga mitaani kutembea na vitoto vya primary yaani inakera puuu!!

Labda wewe watakuelewa!
 
Hivi comments za kushabikia namna hii, mnazitoa kwa sababu mabinti/dada zenu hamuwafanyii/hawafanyiwi hivyo sio?? I wish I could be a magistrate halafu niletewe kesi ya namna hiyo......bahati nzuri na mtuhumiwa uwe ni wewe......UNGEJUTA nakwambia!!!



Duh! - sipati picha! ..... yaani ndio nyie ambao wakati mnahukumu washitakiwa .. huwa mnasema ili kutoa fundisho kwa watu wenye tabia kama hii .... nakuongezea adhabu ya kifungo ..... etc


.
 
Duh! - sipati picha! ..... yaani ndio nyie ambao wakati mnahukumu washitakiwa .. huwa mnasema ili kutoa fundisho kwa watu wenye tabia kama hii .... nakuongezea adhabu ya kifungo ..... etc


.

Kuna mambo mengine yanaudhi kwakweli!!
Tena unatoa adhabu ya kumkomoa kabisa.........ili akajigambe hukohuko gerezani!

Hapo blue wala hujakosea, yaani ningekuwa najaji.......naweka na msisitizo kabisa.
 
Mengine yote sawa ila mambo ya utamu na kunuka yanaonyesha wivu kwa hiyo vikipigwa maji na parfume kwako sawa???? Utamu ule ule ila future yao ndio muhimu zaidi
 
Tabia ya mtu hujengwa na mzazi!


Hapana siyo lazima ... kuna wazazi wanajitahidi sana kuwafundisha na kujenga tabia njema kwa watoto wao LAKINI watoto wanakuwa wakaidi mpaka mzazi anashindwa la kufanya. So it's not proper kila kitu kuwalaumu wazazi.
 
wajua watu wengine ni wakubwa ila wana mwili mdogo.....! haiwezekani binti wa shule ya msingi alele kwa bwana....... hivi, hivi......., kama hivo basi...huyo atakuwa mwalimu wake........ amepewa "ruhusa" na wazazi wake..."waende ziara ya masomo BAGAMOYO"
 
Hapo ndo huwa namkumbuka kamanda masawe alinyosha karagwe, japo ana mabmo yake ya hovyo
 
hahahhahaah kumbe kako frm 4! kubwa hiyo. mtaani kwetu kuna kabinti kalikamatwa kana mme wa mtu kapo drs la sita
 
Back
Top Bottom