PROF NDUMILAKUWILI
JF-Expert Member
- Mar 25, 2016
- 10,518
- 13,144
kuna kipindi alikuwa bomba sana akiwa Twanga pepeta ila KAZEZE na Madawa yamepukutisha sana wasanii wa bendi
Cc king kong III
Cc king kong III
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna siku nimewaona feri na Badi Bakule kifupi wote wamechoka na walikuwa hawaeleweki wanaenda au wanarudi nadhani hata wenyewe walikua hawajui kama wanaenda au wanarudi! Kwa jinsi walivyochoka
Rafiki umepoteaaa
Best nilikumbwa na kimbunga cha vyeti feki!