Khadija mnoga: Natumia dume nakunywa viloba

Kuna siku nimewaona feri na Badi Bakule kifupi wote wamechoka na walikuwa hawaeleweki wanaenda au wanarudi nadhani hata wenyewe walikua hawajui kama wanaenda au wanarudi! Kwa jinsi walivyochoka

Rafiki umepoteaaa
 
Wana hali mbaya kuna siku moja na cheki mpira kwenye bara ya TIOT,si ndio na waona wanapiga show yy na Bad Bakule.Wasanii wa bongo fleva kuna la kujifunza hapa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…