TANZIA Khalfani Seleman Kikwete ambaye ni kaka wa Rais mstaafu Kikwete afariki dunia

TANZIA Khalfani Seleman Kikwete ambaye ni kaka wa Rais mstaafu Kikwete afariki dunia

G Sam

JF-Expert Member
Joined
Apr 20, 2013
Posts
11,795
Reaction score
36,704
Rais mstaafu Jakaya Kikwete anatangaza msiba wa kaka yake ndugu Khalifan Seleman Kikwete uliotokea leo asubuhi. Msiba upo Msasani kwa Rais huyo mstaafu.

--
TANZIA
Innalilahi Wainnaillaih Rajiuun. Nawajulisha taarifa ya Msiba mkubwa wa Kaka yetu Mkubwa Bwana Khalfani Selemani Kikwete aliyefariki asubuhi hii.Msiba upo Msasani Nyumbani kwa Mh. Rais Mstaafu Dr. Jakaya Mrisho Kikwete. Taratibu za mazishi na mengineyo tutajulishana.

Ahsanteni sana.
Kwa Niaba ya Familia

Ridhiwani J. Kikwete (Mb)
 
Rais mstaafu Jakaya Kikwete anatangaza msiba wa kaka yake ndugu Khalifan Seleman Kikwete uliotokea leo asubuhi. Msiba upo Msasani kwa Rais huyo mstaafu.
Inna lilahi waa inna ilaihi rajiuun
In deed we to Allah we belong and to Allah we shall return
Bila shaka Sisi ni wa Mwenyezi Mumgu na kwa Mwenyezi Mungu tutarejea
 
TANZIA
Innalilahi Wainnaillaih Rajiuun. Nawajulisha taarifa ya Msiba mkubwa wa Kaka yetu Mkubwa Bwana Khalfani Selemani Kikwete aliyefariki asubuhi hii.Msiba upo Msasani Nyumbani kwa Mh.Rais Mstaafu Dr. Jakaya Mrisho Kikwete. Taratibu za mazishi na mengineyo tutajulishana.

Ahsanteni sana.
Kwa Niaba ya Familia

Ridhiwani J. Kikwete (Mb)
 
Back
Top Bottom