Khalid Abeid- Mchezaji wa Sunderland, Simba na Timu ya Taifa

Dah! Tumeupoteza wapi mpira TZ? Mijitu kama Mwameja, Said Mwamba 'Kizota' Hamis Gaga 'Gagarino' wako wapi? Vijitu kama Morrison, Chama, Niyozima etc lazima wangesubiri benchi.
Chama ni daraja tofauti sana na kina Niyonzima na Morisson.

Ifikie wakati mmheshimu Clatous Chota Chama.
 
Mkuu mbona sasa hivi hizo timu ulizotaja zote ziko daraja la chini kuliko timu zetu mbili za kariakoo?
 
Shukraani mno hiki ndio kipindi ambacho nchi ilikua na heshima na adabu,tunawana JF humu wanaojifanya wajuaji sana na middle class wakati they achieved nothing kwenye maisha yao,ninazisoma mada zako humu mkuu ,Shukraani sana
Mkuu kwani huwezi kumsifu Mzee Mohamed Said bila kuwebeza wengine?

Anyway wewe umelifanyia nini taifa ?
 
Mzee mohamed! Karibu al khasusi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…