Khalid Aucho awapasha mashabiki wa Yanga wanaomzomea Fei Toto

Khalid Aucho awapasha mashabiki wa Yanga wanaomzomea Fei Toto

Lupweko

JF-Expert Member
Joined
Mar 26, 2009
Posts
23,566
Reaction score
24,891

Haya ni maneno mazito ya Khalid Aucho, Mchezaji wa Yanga kwenda kwa mashabiki wa Soka Tanzania akiongea na Waandishi wa Habari baada ya kukabidhiwa Kombe la Ligi Kuu ya Tanzania Bara (NBC Premier League. Aucho aliulizwa baadhi ya maswali ikiwemo ni nani anatamani kucheza naye na kumtaja kiungo wa kimataifa Zambia Clatous Chota Chama, lakini pia akaulizwa kuhusiana na mchezaji gani wa Kitanzania anayemkubali zaidi na kumtaja Feisal Salum (Fei Toto).

"Namkubali sana Fei Toto siyo kwasababu yuko Azam lakini ni mchezaji mzuri sana, nadhani Watanzania mnapaswa kujivunia kipaji hicho badala ya kumkosoa na kumzomea, mnapaswa kumpa moyo na kumpamba kuliko kuwapamba wachezaji kutoka nje. Kwa mfano Mdathiri Yahaya ni moja ya wachezaji bora sana hapa Tanzania lakini hamumpi heshima kama mnavyowapa heshima wachezaji wa kigeni." - Amesema Khalid Aucho
 
Mashabik wa yanga ni mazezeta! hata wachezaji wao wanajua. Kama hivi.
 
Mazezeta yaliletewa Manzoki kwenye uchaguzi yakapinga nduru
na mengine yakaletewa Gael Bigirimana kwenye uchaguzi akitokea moja kwa moja Newcastle ya England

1717572341937.png
 
Mashabik ya tim flan yanashida sana.. Sik ile Yanga wanakosa penat Mbili za mwanzo yakawa yanashangilia na kugonga gonga vitu na kufahanya uharibifu mkubwa, Moyoni najiuliza hiv haya yanajitambua kweli?? Yaani hayana uchungu na timu yao kufel ila yanafurahia kias hiki yanga kufungwa!!!! Bahati nzuri Mungu si mzee Mkumba Yanga akashinda, yalipata aibu ya maisha.

Isee Nyie Mnamatatizo mengi na hata hamjui muanze na lipi, Viongozi, Kocha, Wachezaji na kitu ambacho nina hakika nacho hamuwez kuyatatua yote kwa msimu mmoja hvyo bado mna misimu kadhaa ya kuteseka
 
Lazima tutafute lolote la kuwakaanga vyura wa head....
 
Back
Top Bottom