mwanausangi
JF-Expert Member
- Nov 4, 2021
- 548
- 608
Huyu alieteswa na mtoto mdogo sana Feisal salum fundi wa mpira kutoka zanzibar!!hakika waganda hawana akili kabisaaa kumpa uchezaji bora KOLO LWANGAEwe utopolo mchezaji bora wa uganda ni Thadeo Lwanga.
Tayari Simba washambeba huyu jamaa Simba ni mafia sana,najua amuwezi amaini lakini huo ndo ukweli.
MAKOLO si wanajitekenya na kucheka wenyeweHamna iyo jeuri
Kwa hiyo mchezaji anakuwa bora kwa kuangalia mechi moja? Hakika utopolo ni utopolo.Huyu alieteswa na mtoto mdogo sana Feisal salum fundi wa mpira kutoka zanzibar!!hakika waganda hawana akili kabisaaa kumpa uchezaji bora KOLO LWANGA
MAKOLO si wanajitekenya na kucheka wenyewe
Usifananishe magimbi na keki bwana!!!Ewe utopolo mchezaji bora wa uganda ni Thadeo Lwanga.
Kwamba utopolo mna akili za kumtambua mchezaji bora kuliko waganda?Usifananishe magimbi na keki bwana!
tulia mkia weweKwamba utopolo mna akili za kumtambua mchezaji bora kuliko waganda?
Mkuu msukule anaropoka sana,hajui kufichaga siri za club kuropoka kwake hovyo kwenye vijiwe akaongea maneno ambayo Simba wameyafanyia kazi wakamfata Dr.Aucho Kampala wakamficha,endelea kutoamini.Hamna iyo jeuri
Kasema haya lini na akiwa wapi? Je, yuko kambini? Nikiwa shabiki kindakindaki wa yanga nashindwa kuelewaKiungo wa Yanga Khalid Aucho amesema hana tatizo na Yanga na pia anafurahia
"Sina tatizo na klabu ya Yanga, Siendi popote kwa sasa sababu nina mkataba na Yanga SC Pia nina furaha ndani ya Yanga na ninaipenda Yanga" Khalid Aucho
MAKOLO FC BANAAKwa hiyo mchezaji anakuwa bora kwa kuangalia mechi moja? Hakika utopolo ni utopolo.
Mkia unampendelea, mwambie tulia KOLO weetulia mkia wewe
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787] dah .Mkia unampendelea, mwambie tulia KOLO wee