mwanausangi
JF-Expert Member
- Nov 4, 2021
- 548
- 608
Wanayanga wenzangu,
Mchezaji wetu hatari na daktari wa mpira Khalid Aucho mganda huyu yuko wapi? Au ni majeruhi?
Tunammiss sana fundi wetu huyu mwenye kiwango bora kabisa ambaye huezi mfananisha na takataka zozote za MAKOLO FC.
Mwenye kujua atufahamishe wanayanga tujue!
Mchezaji wetu hatari na daktari wa mpira Khalid Aucho mganda huyu yuko wapi? Au ni majeruhi?
Tunammiss sana fundi wetu huyu mwenye kiwango bora kabisa ambaye huezi mfananisha na takataka zozote za MAKOLO FC.
Mwenye kujua atufahamishe wanayanga tujue!