Khalid Chokoraa best performer wangu

Khalid Chokoraa best performer wangu

mdundo ngoma sana

JF-Expert Member
Joined
Jan 2, 2016
Posts
1,002
Reaction score
955
Nimeangalia show TBC ya club raha leo, nimegundua Chokoraa ni mpiga show hatari sana Tanzania.

Nipo masomoni Marekani nikirudi namtafuta aseee.

Hongera sana watanzania kwa kubarikiwa vipaji, huo wimbo wa akina Said Mwamba naupata wapi wadau?
 
Nimeangalia show TBC ya club raha leo, nimegundua Chokoraa ni mpiga show hatari sana Tanzania.

Nipo masomoni Marekani nikirudi namtafuta aseee.

Hongera sana watanzania kwa kubarikiwa vipaji, huo wimbo wa akina Said Mwamba naupata wapi wadau?
Mkuu vipi umeenda na ulanzi huko
 
Chokoraa,kaacha bendi waliyokuwa wanaimiliki kwa pamoja na wenzake akina Jose mara na kalala juniour...yeye na Kalala wakarudi Twanga kutumwa..
 
Kwa sasa muziki wa dance upo hoi bin taabani...utakuta bendi kubwa inapiga sehemu kiingilio kinywaji,na ukumbi upo tupu....
 
Back
Top Bottom