. Yeah wewe Ni Mkenyan mwenzakeYes,anafahamika sana China ulipo
Yes safi sana, hakuna kulazimisha na kubana pua/koo kama akina diamond. wako natural kama waimbaji wa enzi za Less Wanyika/Simba wanyikahello JF,
huyu msanii wa Kenya anaimba bwana.
Nashauri manager wake amtafutie connection collaboration na US rappers! Lol
Huyu mkaka sio wa level ya Africa!,mkikasirika mtajiju.
ila kubaki Kenya kwa kipaji hicho ni kutotumia talent ipasavyo
Jaribu, kuona kipaji chake humu KHALIGHRAPH JONES MWANAMZIKI WA KENYA AMBAYE YUKO JUUUUUU