factNi msanii wa kawaida sana
Kingereza kinambe-ba
hello JF,
huyu msanii wa Kenya anaimba bwana.
Nashauri manager wake amtafutie connection collaboration na US rappers! Lol
Huyu mkaka sio wa level ya Africa!,mkikasirika mtajiju.
ila kubaki Kenya kwa kipaji hicho ni kutotumia talent ipasavyo
Jaribu, kuona kipaji chake humu KHALIGHRAPH JONES MWANAMZIKI WA KENYA AMBAYE YUKO JUUUUUU
Camp mulla mwanzon nlivowasikia nlijua ni wa mbele!Haimbi anarap.
Naamini Camp Mullah walistahili chansi ya kucollabo na rappers wa nje kuliko huyu bwana.
Tangu 2013 anatishaHuyo jama kaja juzi tu lakin sasaivi ndio anaonekana kama east africa iconic rapper, sababu ana hasira na game ivo ana push harder than tanzania rappers amabao wamesanda kujiblow internationally. bless to him afike mbali OG!
Sio wa juzi huyo mkongwe sana tuu uyoHuyo jama kaja juzi tu lakin sasaivi ndio anaonekana kama east africa iconic rapper, sababu ana hasira na game ivo ana push harder than tanzania rappers amabao wamesanda kujiblow internationally. bless to him afike mbali OG!
Una Nini chakunisaidia labdaNdio, nikusaidieje?
. Una nyodo wakati huna loloteuna nyodo wakati huna lolote
.Nikuje Private Kwako?umekosa la kuongea?
Sarkodie yupo sayar nyengine. Beast.Ila kakalishwa na Sarkodie kwenye hii ngoma[emoji2]
Hakuna aliyekalisha mwenzake hapo!🤔Ila kakalishwa na Sarkodie kwenye hii ngoma[emoji2]
We jamaa !!!? [emoji16][emoji16][emoji16] KJ Ni Nyoko acha masihara yakoNi msanii wa kawaida sana
Kingereza kinambe-ba