Khaligraph Jones is underated

Kutoka Kayole hapo alipofika imetosha, kwanza anamuiga Wakazi tu... disrespect the OG.
Eti nini wewe!? Kwamba kJ anamuiga wakazi kuflow [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] hiki kichekesho Cha karne
 
Eti Nini wewe !? Kwamba kJ anamuiga wakazi kuflow [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] hiki kichekesho Cha karne

Tulishakubaliana na kufunga huu mjadala, kaa kwa kutulia.
 
YES BANA NDIO MY THEME SONG....Jones ni hatari....Nasikiza nyimbo zake hapa, this dude is fireee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…