herman joshua
JF-Expert Member
- Dec 30, 2018
- 1,967
- 3,212
tuzo si juzi tu?Kuna msanii mmoja ya Nigeria ambaye pia alikuwa category moja na khaligraph Jones kwenye tuzo SOUNDCITY ya Nigeria alipinga ushindi wa khaligraph Jones na kumuongelea vibaya ndipo khaligraph Jones akaamua kutengeneza diss track kwa huyo rapper mnigeria ndo akaiita jina la the best hiphop in Nigeria.
Ndo hivo aisee ukijua mchezo hauwezi kukusumbua.tuzo si juzi tu?
Mara hii katunga mistari saa ngap?? Duh
tuzo si juzi tu?
Mara hii katunga mistari saa ngap?? Duh
Eti eeh sawa bhana wasaniiUkiwa artist suala la kutunga mistari ni issue ndogo sana ..Kama mtoto kunywa uji
Sent using Jamii Forums mobile app
Umesikiliza lakini reply ya Blaqbonez? Nimeanza kumfaham blaqbonez kwenye zile MARTEL CYPHER zinazoongozwa na MI ABAGA, Blaqbonez kiukweli anaandika sana. Na hata ukicheki reply yake kwa bars kamkalisha Jones, ila Jones anajua kuwasilisha vizuri mistari yakeNaona jamaa hataki utan amemuwashia kweli moto mwanamuziki wa hiphop kutoka Nigeria Blackbone. Na nnachoona mpaka sasa mchezo keshautawala yy
#Respect OGs wanigeria lazima waelewe tu wanajiona wao ndo kila kitu now wamepatikana
acha uongo blaqbones kazidiwa punchlineUmesikiliza lakini reply ya Blaqbonez? Nimeanza kumfaham blaqbonez kwenye zile MARTEL CYPHER zinazoongozwa na MI ABAGA, Blaqbonez kiukweli anaandika sana. Na hata ukicheki reply yake kwa bars kamkalisha Jones, ila Jones anajua kuwasilisha vizuri mistari yake
huyo jamaa blackbons alidiss baada ya kaligragh kupewa tuzo ya mwana hip hop bora afrika kwenye tuzo za sound MVP kuwa hakustahili kupewa kaligragh bali yeye ndo alistahili na yy ndo mwana hip hop bora Africa ko Mr OGs kamwambia amuombe msamaha vinginevyo atawadis wasanii wa hip hop wote wa Nigeria akianza na yyKuna nn kwani mkuu em nipe summary kidg ana beef na uyo jamaa au nn
yess BiShoo haswaaA
mmmmh ila khaligraph ni mnoma kuanzia flow zake hadi mistariUmesikiliza lakini reply ya Blaqbonez? Nimeanza kumfaham blaqbonez kwenye zile MARTEL CYPHER zinazoongozwa na MI ABAGA, Blaqbonez kiukweli anaandika sana. Na hata ukicheki reply yake kwa bars kamkalisha Jones, ila Jones anajua kuwasilisha vizuri mistari yake
wewe ni nan na una impact gan katka sanaa..?