George Betram
JF-Expert Member
- Oct 10, 2015
- 4,672
- 6,272
Acha utani jombaa.Bado hataweza kufikia sababu mziki wa bongo una vichwa ambavyo havisikiki kwenye media sana na uwezo wa Jones ni sawa na gnako tu
Anabebwa na English tu lakn ni levo za madogoAcha utani jombaa.
Bongo haina mwanahiphop wa kumlinganisha na Khaligraph Jones,jamaa ni mnoma sana.
Anabebwa na English tu lakn ni levo za madogo
Acha utani jombaa.
Bongo haina mwanahiphop wa kumlinganisha na Khaligraph Jones,jamaa ni mnoma sana.
Hapana jamaa ana swag " na flow Kali .... Kitu ambacho wa bongo wengi hawana .. Pia huwa ana change flow katika mistari Yake ..Akiimba mistari minne flow hii. .basi mistari minne Ijayo anadondosha midondoko mingine '' Tena kwa swag na Flow Kali sana ... .....Anabebwa na English tu lakn ni levo za madogo
Exactly kabisa .... Hiki ndio Ambacho huwa nakiongea kuhusu papa jonesUkiangalia tu rappers waliopata kupita kwenye dk 10 za maangamizi utajua kwa kweli Tz kwa sasa hamna rapper anaweza kugusa levo za papa Jones.
Kuanzua freestyle, flow, content ya lyrics na hata pumzi.
TZ tumebaki na ma rapper wa studio tu. Ukiwaweka LIVE yoyoo nyingi afu wanarudia mistari ya truck zao tuu reffer YOUND DEE na J MO kwenye dakika 10 za maangamizi E.A radio (planet bongo)
PAPA JONES ni hatari aisee
Wewe kweli umerogwa ...hahahaPale hip Hop ya Kenya namuelewa zaidi King Kaka....Kali graph akijitaidi atafika level za King kaka na sio level za Ngwea
Hapana ngwair kibongo bongo alikuwa anajua sana ..nampaka leo hii hao ma-star wenyewe wa Mziki wa bongo wana kubali kuwa ngwair yupo kwenye Top 2 ya wasanii wakali kuwahi kutokea Tz akiwa nyuma ya prof Jay (niliwahi kumsikia FA akisema hivi) ...... Ngwair alikuwa ni game changer ndiye msanii aliye leta mziki wa swag tz awali ma-mc walikuwa wana andika lakini flow ambazo zina support u- gangster only ....Yah free style ilimbeba sana Ngwea however ni mkali pia.
Lakini Ngwea asifananishwe na S.Bleachers... Nikitizama ktk list yangu kuna wakali wengi sema kwa sasa mziki upo ktk mikono ya kikundi cha watu fulani wakiamua uwe star unakuwa hata kesho yake.
D.Coper ulishawai kumfikiria one the Incredible mkuu siku atakapo msujudia kaisari wa mziki wa bongo atakuwaje ?
Umemaliza kila kitu kiongozi.Hapana jamaa ana swag " na flow Kali .... Kitu ambacho wa bongo wengi hawana .. Pia huwa ana change flow katika mistari Yake ..Akiimba mistari minne flow hii. .basi mistari minne Ijayo anadondosha midondoko mingine '' Tena kwa swag na Flow Kali sana ... .....
Wabongo wengi wana rap but flow ina weza kuwa ile ile au ikachange Mara 1 katika verse nzima na swag ni 0...
Sent using Jamii Forums mobile app
Aahhgh wabongo kwa uzushi ndio zetuUmemaliza kila kitu kiongozi.
Ila "wabishi" watasema sisi ni Kenyans.
Kwakua Anaimba Kiingereza? Jones wa KawaidaAcha utani jombaa.
Bongo haina mwanahiphop wa kumlinganisha na Khaligraph Jones,jamaa ni mnoma sana.
Jones haingii kwa Ngwea hata nusu Ngwea alikua Next Level kipaji cha hali ya Juu sana.Hapana ngwair kibongo bongo alikuwa anajua sana ..nampaka leo hii hao ma-star wenyewe wa Mziki wa bongo wana kubali kuwa ngwair yupo kwenye Top 2 ya wasanii wakali kuwahi kutokea Tz akiwa nyuma ya prof Jay (niliwahi kumsikia FA akisema hivi) ...... Ngwair alikuwa ni game changer ndiye msanii aliye leta mziki wa swag tz awali ma-mc walikuwa wana andika lakini flow ambazo zina support u- gangster only ....
Ngwair akaja na Aina ya uandishi unaohusu Bata.swag. na mapenzi ' Na akaliteka soko ...licha ya hivyo ngwair alikuwa na talanta kubwa sana ..Alikuwa anaweza ku-rap .kuimba style kama R&B Na ragga at the same time na bado akatoa nyimbo hits ..kitu ambacho wasanii wengi hawana ....
Ila hapo kwa Papa Jones ' I declare to say this " Papa Jones ni mkali sana kwa flow kuliko ngwair .. As you know Uandishi wa muziki wa sasa sio ule uandishi unao ongelea visa
Sent using Jamii Forums mobile app
Abadilikeje sasa abane pua?Kabisaa kabisaa
Nick mbishi angekubali kubadilika yule jamaa angekua hatari zaidi ya huyo kal
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana jamaa ana swag " na flow Kali .... Kitu ambacho wa bongo wengi hawana .. Pia huwa ana change flow katika mistari Yake ..Akiimba mistari minne flow hii. .basi mistari minne Ijayo anadondosha midondoko mingine '' Tena kwa swag na Flow Kali sana ... .....
Wabongo wengi wana rap but flow ina weza kuwa ile ile au ikachange Mara 1 katika verse nzima na swag ni 0...
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimemfaham kaligraph johnes kitambo Sana kuanzia enzi hizo ana Bifu zitto na Octopizo.. Kali alikuwa pure underground akifanya Sana Freestyle Battle ...Acha utani jombaa.
Bongo haina mwanahiphop wa kumlinganisha na Khaligraph Jones,jamaa ni mnoma sana.