MAMA POROJO
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 4,974
- 785
Mkuu zimeishatolewa acha uongo
MkuuMkuu zimeishatolewa acha uongo
Hii itakuwa tetesi mbona mzigo upo uswazi siku nyingi na watu wanagawiwa kama kawa...
Bado kuna mizigo yenu imebaki bandarini inadaiwa kodi.
They are busy screwing our country...Where is Rostam ama Jeetu Patel?
Nenda kaangalie vizuri utakuwa mzigo wa Rev. Mtikila
They are busy screwing our country...
Hivi kwa nini hii tenda hawakuvipa viwanda vyetu vya nguo viwatengenezee hizo khanga, ama kweli awa jamaa si wazalendo!
Hivi Tanzania hatuna viwanda vya kutengeneza kanga,T-shirt na kofi mpaka waka tengenezee nje...hawaoni kama wangeongeza ajira Tanzania kama wange fanya hivyo...ua wana kwepa garama...na huyu mkuu wa TRA hapendi kazi anakataza nguo za Mafisadi anahatarisha ajira yake au danganya toto....Kama akiendele hivyo big up kwake...CCM imeshindwa kukomboa makontena mengi yenye khanga, tshirt, vitambaa, kofia na mabango. Baada ya TRA kukataa katakata kuyatoa hadi yalipiwe kodi. Kila mkoa ulipangiwa kupewa makontena mawili ya futi 20, hali hiyo imefanya baadhi ya wilaya kukosa kabisa khanga na kofia, na mikoa mingi kupata kiasi kidogo sana kuliko mahitaji halisi.
Sasa hivi ccm wanahaha kutafuta pesa za kulipia TRA ili waondoe mizigo yao bandarini.
you can say that again, and again and again...HAhahahah we call them Fool's Gold!
you can say that again, and again and again...
I cant understand why these "fools" dont see...
vipo lakini ni very expensive kutengeneza khanga na vitenge ukilinganisha na singapore, china, cambodia etc. the main reason ni kwamba sisi hatuna umeme ulio robust [pesa zote ndo hizo wanakula na ndugu zao], pia kodi za malighafi ziko juu na generally we like buying from outside hata kama ni malawi...Hivi Tanzania hatuna viwanda vya kutengeneza kanga,T-shirt na kofi mpaka waka tengenezee nje...hawaoni kama wangeongeza ajira Tanzania kama wange fanya hivyo...ua wana kwepa garama...na huyu mkuu wa TRA hapendi kazi anakataza nguo za Mafisadi anahatarisha ajira yake au danganya toto....Kama akiendele hivyo big up kwake...
huyu naye sisi tunaongelea leo wewe unatuletea mambo ya enzi za mawe, kweli huwa nakuangalia kama zezeta fulani hivi la CCM sorry to say that.marando alishindwa kukomboa mzigo kama huo toka afrika kusini those days