MAMA POROJO
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 4,974
- 785
CCM imeshindwa kukomboa makontena mengi yenye khanga, tshirt, vitambaa, kofia na mabango. Baada ya TRA kukataa katakata kuyatoa hadi yalipiwe kodi. Kila mkoa ulipangiwa kupewa makontena mawili ya futi 20, hali hiyo imefanya baadhi ya wilaya kukosa kabisa khanga na kofia, na mikoa mingi kupata kiasi kidogo sana kuliko mahitaji halisi.
Sasa hivi ccm wanahaha kutafuta pesa za kulipia TRA ili waondoe mizigo yao bandarini.
Sasa hivi ccm wanahaha kutafuta pesa za kulipia TRA ili waondoe mizigo yao bandarini.