LOOOK
JF-Expert Member
- May 17, 2011
- 3,389
- 674
jamani kuna swala lanchanganya sana sana mwenzenu hapo awaliu nlikuwa mpiga puchu marufu sana takriban miaka kumi kwa kipindi hicho nlikuwa sijihusushi sana na mambo ya ngono sasa ikafika mahali nkaamua kuacha .
lakni cha ajabu ni kwamba nisipo piga puchu kwa mda kama mwezi mmoja ivi hata utendaji wangu katika mapenzi ni mdogo sana kwanza namaliza haraka na kupanda cha pili ni kwa shida .
lakini nikipiga puchu yaan nkiendeleza kale kamchezo ka kupiga puchu hata nikionana na shem wenu huwa anaomba poo! naweza kwenda hadi round 5 na zaidi na bado nakuwa na hisia kali sana kiasi kwamba naweza fika hata tisa halafu hata kumaliza huwa nachukua mda mrefu kiasi kwamba shemeji yenu anaweza kufika hata mara tatu mie hata moja bado.
sasa hali hii imenifanya nishindwe kabisa kuacha huu mchezo wa puchu sababu nikiaacha tu utendaji unakuwa zero so hivyo kujikuta napiga puchu na shemeji yenu anapewa haki yake na nlimwambia akiona amechoka ananambia ingawa mwanzo alihisi labda akiniambia atakuwa hanitendei haki lakini baadae akaelewa hivyo akichoka ananambia ametosheka ingawa hufikia hatua alikuwa anahisi huwa nakunywa viagra kumbe hakuna .sasa wataalam naomba mnisaidie nini hiki au nsahkuwa addicted?
lakni cha ajabu ni kwamba nisipo piga puchu kwa mda kama mwezi mmoja ivi hata utendaji wangu katika mapenzi ni mdogo sana kwanza namaliza haraka na kupanda cha pili ni kwa shida .
lakini nikipiga puchu yaan nkiendeleza kale kamchezo ka kupiga puchu hata nikionana na shem wenu huwa anaomba poo! naweza kwenda hadi round 5 na zaidi na bado nakuwa na hisia kali sana kiasi kwamba naweza fika hata tisa halafu hata kumaliza huwa nachukua mda mrefu kiasi kwamba shemeji yenu anaweza kufika hata mara tatu mie hata moja bado.
sasa hali hii imenifanya nishindwe kabisa kuacha huu mchezo wa puchu sababu nikiaacha tu utendaji unakuwa zero so hivyo kujikuta napiga puchu na shemeji yenu anapewa haki yake na nlimwambia akiona amechoka ananambia ingawa mwanzo alihisi labda akiniambia atakuwa hanitendei haki lakini baadae akaelewa hivyo akichoka ananambia ametosheka ingawa hufikia hatua alikuwa anahisi huwa nakunywa viagra kumbe hakuna .sasa wataalam naomba mnisaidie nini hiki au nsahkuwa addicted?