Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Mkuu wasiliana na baba Askofu Muga wa KKKT Dayosisi ya Korogwe kama sikosei jana kaeleza vizuri sn, pia wewe siyo mgeni wa nchi hii, awamu ya 5 ilikuwa bora umtukane IGP lakini siyo UVCCM (IGP atakupeleka mahakamani lakini UVCCM wanakupoteza kabisa).Ni yapi Mkuu?
Utanitagi mkuu[emoji15][emoji15][emoji15] he !!! Jiana lake halisi ni nani?
Wenye chama chao wameanza kurudi,Hawa watoto walidekezwa sana wakajenga jeuri kisa watawala ni watu wao wa karibu hawakuweka akiba ya maneno, mambo yamebadilika wakuwakingia kifua hayupo tena muda siyo rafiki tena.
Imeloa! Acha aisee! Mbona una roho mbaya hivyo? Ila una maono Sana!Kifo cha Magufuli Mungu amefanya kitu kikubwa sana ambacho hukuna ajuaye hadi sasa nini maana yake na hata wale wanaojiita watumishi wa Mungu waliokuwa wanamsujudia Magufuli kama Mungu nao wako gizani.
Mwigulu Nchemba aione kwenye jalada.
Nimesoma humu JF kuwa Mwenyekiti wa UVCCM Taifa, Kheri James ameomba radhi kwa mambo yaliyofanywa na kuomba 'maridhiano' ya kitaifa ili tusonge mbele pamoja chini ya Rais wetu mpendwa Mama Samia Suluhu Hassan.
Nikasoma tena humuhumu kuwa Kheri James huyohuyo amesema kuwa msamaha aliouomba ni wake binafsi na si wa UVCCM kama taasisi.
Kuomba radhi ni jambo la kiungwana na kuungwa mkono. Kuomba radhi hufuatiwa na kukubaliwa au kukataliwa kwa radhi husika. Lakini, radhi lazima ianike mambo mahsusi yahusuyo radhi hiyo.
Kwa waliomsikia Kheri James akizungumza au kusoma andiko lake halisi, ameainisha mambo gani hasa aliyoyaombea radhi? Mabaya/makosa/maovu gani ambayo ameyaombea radhi?
Labda yale ya kunena, kutenda, kutotimiza wajibu na kuwaathili wengine kisaiklojia ama kwa matamshi /vitisho.Ni yapi Mkuu?
Erick..........maliziaMsamaha uambatane na kuweka wazi jina lake halisi ni nani, ilikuaje akajibatiza tunaomjua hilo sio jina lake.
Wale njaa tuuKifo cha Magufuli Mungu amefanya kitu kikubwa sana ambacho hukuna ajuaye hadi sasa nini maana yake na hata wale wanaojiita watumishi wa Mungu waliokuwa wanamsujudia Magufuli kama Mungu nao wako gizani.
Mataga mwenzako huyoHawa watoto walidekezwa sana wakajenga jeuri kisa watawala ni watu wao wa karibu hawakuweka akiba ya maneno, mambo yamebadilika wakuwakingia kifua hayupo tena muda siyo rafiki tena.
Karibu tena mkuuHawa watoto walidekezwa sana wakajenga jeuri kisa watawala ni watu wao wa karibu hawakuweka akiba ya maneno, mambo yamebadilika wakuwakingia kifua hayupo tena muda siyo rafiki tena.
NgambekiErick..........malizia
Shuleni aliitwa Erick Ngambeki, jukwaani anaitwa Heri James....sijui halisi ni lipi sasa, la shule au la jukwaani[emoji15][emoji15][emoji15] he !!! Jiana lake halisi ni nani?
Mbona naskia huyo jamaa alishang'ata shuka,au liwehuka kwanza?Huenda lile tatizo lililokuja kumpata Abdallah Zombe baada ya mauaji ya wale Wafanyabiashara wa madini kutoka Mahenge, la kuweweseka na kuongea mwenyewe njiani kama mwendawazimu! limeanza kumnyemelea na yeye.
Mkuu shikamoo ..DIIPDAIVA KAZININgambeki
Kumbe muhaya?Ngambeki
Mi nnaemjua wa shule ni muhaya, ila mambo yalivokua mengi usishangae sahivi akawa msukuma.Kumbe muhaya?