Zogwale JF-Expert Member Joined Jul 10, 2008 Posts 15,295 Reaction score 10,928 Mar 30, 2021 #41 Ritz said: Hawa watoto walidekezwa sana wakajenga jeuri kisa watawala ni watu wao wa karibu hawakuweka akiba ya maneno, mambo yamebadilika wakuwakingia kifua hayupo tena muda siyo rafiki tena. Click to expand... Ritz za masiku? Miaka kadhaa sijakusikia kabisa Mimi Zogwale
Ritz said: Hawa watoto walidekezwa sana wakajenga jeuri kisa watawala ni watu wao wa karibu hawakuweka akiba ya maneno, mambo yamebadilika wakuwakingia kifua hayupo tena muda siyo rafiki tena. Click to expand... Ritz za masiku? Miaka kadhaa sijakusikia kabisa Mimi Zogwale
witnessj JF-Expert Member Joined Mar 22, 2015 Posts 28,704 Reaction score 47,260 Mar 30, 2021 #42 Evelyn Salt said: Mi nnaemjua wa shule ni muhaya, ila mambo yalivokua mengi usishangae sahivi akawa msukuma. Click to expand... Teh teh [emoji16]
Evelyn Salt said: Mi nnaemjua wa shule ni muhaya, ila mambo yalivokua mengi usishangae sahivi akawa msukuma. Click to expand... Teh teh [emoji16]
Ritz JF-Expert Member Joined Jan 1, 2011 Posts 51,303 Reaction score 40,190 Mar 30, 2021 #43 Zogwale said: Ritz za masiku? Miaka kadhaa sijakusikia kabisa Mimi Zogwale Click to expand... Kwema mkuu wangu tupo kijijini tunalima mbogamboga
Zogwale said: Ritz za masiku? Miaka kadhaa sijakusikia kabisa Mimi Zogwale Click to expand... Kwema mkuu wangu tupo kijijini tunalima mbogamboga
Zogwale JF-Expert Member Joined Jul 10, 2008 Posts 15,295 Reaction score 10,928 Apr 5, 2021 #44 Ritz said: Kwema mkuu wangu tupo kijijini tunalima mbogamboga Click to expand... Daah aisee. Yaani ndiyo upotee hivyo Mkuu? Yaani toka 2015 ni kama sijakusikia kabisa. Anyway Mungu ni mwema tunapumua bado
Ritz said: Kwema mkuu wangu tupo kijijini tunalima mbogamboga Click to expand... Daah aisee. Yaani ndiyo upotee hivyo Mkuu? Yaani toka 2015 ni kama sijakusikia kabisa. Anyway Mungu ni mwema tunapumua bado