Kwa hiyo mnaamini mtamdhuru Lissu jukwaani Bavicha wakiwa wanawaangalia tu? Mmesahau mlivyofanya Hai mwnzenu akazindukia hospitali? Mmekwenda kuiba fomu Ukara mwenzenu katangulizwa mbele za haki, mmebadili fomu Mbozi wenzenu 2 RIP?Wewe subiri usije ukasema hukuambiwa
Ha ha ha haaaaaaa......
Hakuna mtu wa kumwondoa mtu mwingine. Nchi hii ni ya Watanzania. Watanzania ndio wanaoimiliki Tanzania. Hakuna mtu wa kuwatisha wengine wala kuwababaisha wengine.Na yeye atashikwa pabaya zaidi. Jino kwa jino hadi itambidi arudi kwao Ubeligiji akaendelee na lockdown ya covid 19.
Labda Heri angesema ni nani kamtukana raisi na kamtukana rudi gani?
Umemaliza mkuuKawe Alumni , miaka yote UVCCM inakuwa na vijana werevu, wajibu hoja na wanaosaidia sana chama cha Mapinduzi, kuanzia akina Emmanuel Nchimbi, John Guninita, Nape Nnauye, Hussein Bashe, Masauni Yusuf na kadhalika, lakini sijaona kijana mpumbavu ambaye CCM imepata kuchagua kama huyu Heri James. Ni mpumbavu sana. Hakisaidii chama, zaidi ya kukiangamiza. Tangu amechaguliwa yeye ni kejeli na vitisho kwa wanaopishana naye kimawazo na mitazamo, hana constructive ideas kama hao niliowataja hapo juu. Ni shida sana. I sorry to say that, lakini ndio mtazamo wangu.
Hatuna access a hotuba za Wapinzani.Utuwekeeni mautusi nasi tuusaidie kuwakanaTusi gani alilotukanwa?
Hahahahahaha hii pimbi inachekesha kweli,sasa itafanya nini .wao wanategemea polisy iwasaidie kupiga watu hivi wakisimama wenyewe uwanjani wataweza kupigana kweli ukizingatia kwa sasa wapinzani ni wengi kuliko ssm
Kura zote kwa CCMTusi gani alilotukanwa?
Na sisi lissu atuachie tuwainamishe
Who are you mfUnajifanya message hujaielewa? Subiri utaielewa tu.
Kwani huyo anayesema 'wakimugusa tu moto utakaowaka hamuna atakayeweza kuuzima' alikuwa anamtisha nani? Huyo anayesema 'mawakala wa chama chake watakapokuwa wanaenda kuapishwa kwa msimamizi wa uchaguzi wasindikizwe na umati wote uliohudhuria kwenye mkutano wake pale Ifakara' alikuwa anamtisha nani? Na kwamba umati wote huo utakapoenda kupiga kura hiyo tarehe 28 Oct 2020 ubaki hapo hapo kwenye kituo cha kupigia kura na kuhesabu kura hizo, alikuwa anamtisha nani? Na akasema maeneo yote nchi nzima wafanye hivyo, alikuwa anamtisha nani?
Arudi tu kwao Ubeligiji akapambane na covid 19, asituvurugie amani yetu. Tanzania ni kitovu cha amani Afrika.