Kheri ya sikukuu ya pasaka in advance

Kheri ya sikukuu ya pasaka in advance

Hata Yesu hajateswa msalabani mshaanza kutakiana kheri ya Pasaka.

Hata hajashuka kuzimu.
 
Mungu atamtunza atakua vyema kwa kimo na maarifa, atakua buheri wa afya tele
Amen. Na iwe ivyo. .

Sasa vipi kuhusu tumtafutie mdogo wake😄 au na wewe unaweka jiti aka gogo kwenye mkono kuzuia mimba zisiingie🤣
 
Madam jambo letu nililisahau. Kesho uhakika 100%.

Tusubiri kwanza Yesu ateswe nitarudi kukutakia kheri ya Pasaka.
Unafikiri huyu anayesheherekea pasaka wakati Yesu hajateswa atakuw ni Pilato tu Amejuaje Yesu Anatolia Sayaka?
 
Amen. Na iwe ivyo. .

Sasa vipi kuhusu tumtafutie mdogo wake😄 au na wewe unaweka jiti aka gogo kwenye mkono kuzuia mimba zisiingie🤣
😀😀😀😀😀niweke jiti la nini mie sio shida zangu😀😀😀😀😀

Ila muda bado
 
Back
Top Bottom