Dr Restart
JF-Expert Member
- Jul 15, 2021
- 4,949
- 24,046
Hata Yesu hajateswa msalabani mshaanza kutakiana kheri ya Pasaka.
Hata hajashuka kuzimu.
Hata hajashuka kuzimu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mungu atamtunza atakua vyema kwa kimo na maarifa, atakua buheri wa afya teleMtoto hajambo now Kapona mwanzo alitutisha kidogo. Tumuombee kheri katoto akue salama😄
akimaliza miezi mitatu tumtafutie ndugu yake😄
Ule kwa raha zote😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀heeheehe
Hata Yesu hajateswa msalabani mshaanza kutakiana kheri ya Pasaka.
Hata hajashuka kuzimu.
NasubiriUle kwa raha zote
Tutaenda saa ngapNasubiri
Madam jambo letu nililisahau. Kesho uhakika 100%.[emoji23][emoji23][emoji23]
Nasubiri After Eid ndo tutaenda vizuri dada zangu wote waislam 😀😀😀😀Tutaenda saa ngap
Mimi si nipo boss mtotoNasubiri After Eid ndo tutaenda vizuri dada zangu wote waislam 😀😀😀😀
Basi twende Easter MondayMimi si nipo boss mtoto
Amen. Na iwe ivyo. .Mungu atamtunza atakua vyema kwa kimo na maarifa, atakua buheri wa afya tele
Ana changamoto gani huyo!? Chloroquine haina dripu.Wew dr embu sikia nenda kule kachukye dripu ya kolokwini mchome Gily akili zimeluka tena
Embu mchomo ase ni mlipokaji sana humu kila mahali yupo kama mahindi ya kuchomaAna changamoto gani huyo!? Chloroquine haina dripu.
Huyu tumpige dawa ya Usingizi.
Unafikiri huyu anayesheherekea pasaka wakati Yesu hajateswa atakuw ni Pilato tu Amejuaje Yesu Anatolia Sayaka?Madam jambo letu nililisahau. Kesho uhakika 100%.
Tusubiri kwanza Yesu ateswe nitarudi kukutakia kheri ya Pasaka.
😀😀😀😀😀niweke jiti la nini mie sio shida zangu😀😀😀😀😀Amen. Na iwe ivyo. .
Sasa vipi kuhusu tumtafutie mdogo wake😄 au na wewe unaweka jiti aka gogo kwenye mkono kuzuia mimba zisiingie🤣
😂😂😂 umenibadilisha jina tenaUnafikiri huyu anayesheherekea pasaka wakati Yesu hajateswa atakuw ni Pilato tu Amejuaje Yesu Anatolia Sayaka?
Unataka kuna kula kitimoto kilo mbili na mzinga wa nyagi kwangu hakuna nenda kwa Freeman Mbowe🤣Bora nile kwa watu kuliko kuja kula kwako jf nzima itajua kua nimeondoka na chakula kwemye ramboo
Nilikisahau karibu
Weeee kweli subiri subiri yaumiza matumbo au ngoja ngoja utakuta mwana si wako😄😀😀😀😀😀niweke jiti la nini mie sio shida zangu😀😀😀😀😀
Ila muda bado