Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,468
- 911,184
Moyo wake unamfahamisha ya kuwa hapo ndipo roho yake inapodundia lakini historia ya kijana ambaye anamfuatafuata kwa udi na uvumba ndiyo inamtia khofu.............................
Kijana ana tabia ya kubeba mizigo khalafu huidondosha njiani na huyu binti hayuko tayari kuachwa katukatu hasa akizingatia mwisho wa yote jamaa ataishia baada ya kumm'ega..........................lol
kwenye mazingira ya namna hii hivi penzi bila ya khofu ya kumwagwa lawezekana?
Kijana ana tabia ya kubeba mizigo khalafu huidondosha njiani na huyu binti hayuko tayari kuachwa katukatu hasa akizingatia mwisho wa yote jamaa ataishia baada ya kumm'ega..........................lol
kwenye mazingira ya namna hii hivi penzi bila ya khofu ya kumwagwa lawezekana?