Cheka sana, simulia sana lakini omba yasikukute.Wakati kimeingia nilijua tutazika mpaka panzi lakini naona hakuna kilichotokea
Misongamano kama yote nchi nzima,wagonjwa wa sukari,wazee,wenye HIV nk naona bado wako mtaani wanadunda
Nimeamini korona ni usanii tosha na imetengenezwa ili kufanikisha mageuzi ya mifumo fulani ya kifedha ya uncle sam
Shukuru kama hayajakukuta, mi binafsi nimezika ndugu zangu wa damu achilia mbali jirani zangu
Ile inayolimwa na kutumika kwenye mbogaNyanya ipi
Corona inaathiri zaidi kama kinga yako ni dhaifu, kwahiyo ukiwa na magonjwa mengine ni rahisi sana Covid kupita na wewe.Hivyo vifo unavyovizungumzia vyote vya corona au ni pamoja na vifo vyengine?
Tunza tu mapmb yako kama familia yako haijaguswaWakati kimeingia nilijua tutazika mpaka panzi lakini naona hakuna kilichotokea
Misongamano kama yote nchi nzima,wagonjwa wa sukari,wazee,wenye HIV nk naona bado wako mtaani wanadunda
Nimeamini korona ni usanii tosha na imetengenezwa ili kufanikisha mageuzi ya mifumo fulani ya kifedha ya uncle sam
Walipangiwa na nani ?Walipangiwa watakufa hivyo pindi tu walipozaliwa
Pole sana!Shukuru kama hayajakukuta, mi binafsi nimezika ndugu zangu wa damu achilia mbali jirani zangu
Pole sana!Mimi Baba yangu hata mwezi haujaisha[emoji24]
Mleta mada ni mpumbavu sana, sorry for that, unadhani wakifa watu 1,000 lazima na ndugu/jirani yako awemo ndiyo ujue watu wamekufa?Wakati kimeingia nilijua tutazika mpaka panzi lakini naona hakuna kilichotokea
Misongamano kama yote nchi nzima, wagonjwa wa sukari, wazee, wenye HIV nk naona bado wako mtaani wanadunda
Nimeamini korona ni usanii tosha na imetengenezwa ili kufanikisha mageuzi ya mifumo fulani ya kifedha ya uncle sam
Dadavua mkuu...Miradi ya watu iyo mzee, wenye mchongo wameweka pesa ndefu sana kwenye hii project so lazima iende tu.
Baada ya mama kuridhia chanjo wimbi delta sijui limepotelea wapi, ila tungejifanya kichwa ngumu tungepigwa mawimbi ya kila rangi hahahaha
Sawa ila hiyo haina maana kuwa tukachukulia kwamba mtu mwenyewe hayo magonjwa mengine akifariki basi ni covid tu.Corona inaathiri zaidi kama kinga yako ni dhaifu, kwahiyo ukiwa na magonjwa mengine ni rahisi sana Covid kupita na wewe.