Agogwe
JF-Expert Member
- Feb 20, 2013
- 2,742
- 3,000
Cheka sana, simulia sana lakini omba yasikukute.Wakati kimeingia nilijua tutazika mpaka panzi lakini naona hakuna kilichotokea
Misongamano kama yote nchi nzima,wagonjwa wa sukari,wazee,wenye HIV nk naona bado wako mtaani wanadunda
Nimeamini korona ni usanii tosha na imetengenezwa ili kufanikisha mageuzi ya mifumo fulani ya kifedha ya uncle sam