Hawa nyama hawa wanatufanya tukose vitu vizuri kwa nongwa zao..
Hii ni kama mahali ya kumuoa mke uambiwe laki 3 halafu mkaja wa bibi sijui uwe milioni na ushehe
Mtengenezaji bei nafuu lakini hawa kenge TRA komesha sasaTra utafikiri wao ndio walitengeneza hizo gari
Ushuru wa kukomoana
Hakuna walichopunguza chochote.Na kuna tetesi walipunguza mwezi April ila sioni unafuu.
Waende na wakati Kuna vitu mtu unajiuliza Hadi unakosa majibu.Hakuna walichopunguza chochote.
Mijitu iliyokaa pale tra na kule tcra ni mihayawani, mishamba haijui kwenda ma wakati. Ipo ipo tu, aheri misukule watakufanyia hata kazi za shamba kwa malipo ya unga...
Walipunguza CIF za baadhi ya magari.Na kuna tetesi walipunguza mwezi April ila sioni unafuu.