Mad Max
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 26,961
- 77,890
Edit: Moderator naomba edit Hyundai sio KIA.
Katika kuzurura mitandaoni nikaonana na Hyundai i40 ya mwaka 2015.
Hyundai nimeziona ona Tanzania so sikua na wasiwasi kuhusu mafundi na spare.
Nadhani kwa wapenzi wa sedans watavutiwa nayo.
Ila bei yake sio mbaya sana kwa Beforwad:
Just Milion 8 hivi CIF unaipata Dar es Salaam.
Tatizo likaja TRA. Dah.
Milioni 24.7 duh. Sasa mbona tunatishana.
Ushuru mara 3 ya bei ya gari.
Katika kuzurura mitandaoni nikaonana na Hyundai i40 ya mwaka 2015.
Hyundai nimeziona ona Tanzania so sikua na wasiwasi kuhusu mafundi na spare.
Nadhani kwa wapenzi wa sedans watavutiwa nayo.
Ila bei yake sio mbaya sana kwa Beforwad:
Just Milion 8 hivi CIF unaipata Dar es Salaam.
Tatizo likaja TRA. Dah.
Milioni 24.7 duh. Sasa mbona tunatishana.
Ushuru mara 3 ya bei ya gari.