Jambo lisiloweza kuwekwa hapa?kuna jambo kule
Umeona kumbeHadi hili nalo mkutane PM?
Una lako jambo wewe si bure🤣🤣🤣
Ooh sawa nimekupataTatizo lake inazuia background data kwahiyo unaweza usione notification za whatsapp kwa wakati. Ukitaka kuzima bonyeza hapa.View attachment 2386711
Anhaa.. nashkuru sana.. nlijua kuna muhuni keshafanya yake😂😂😂
Umefanya jambo jema kujiridhisha,wadukuzi hawakawii kiwekamo apps za kudukuaHivyo vimshale ndio vilinichanganya zaidi mkuu😂
Kuna kijana mmoja muhuni ndio ninampaHuwa unawapa simu yako 'wahuni'?
Watafute za mtaani huko.. ndio sisi sisi...Nimiona hilo 🤣🤣🤣
Vijana wanataka mbususu
Upo sahihiUmefanya jambo jema kujiridhisha,wadukuzi hawakawii kiwekamo apps za kudukua