kiama cha nyumba ndogo.kina dada tuolewe tu sasa

Hebu fafanua,unaongelea Tanzania au nchi ya kufikirika,because this can't be.Hizo ni ndoto za alinacha.Fanya kazi upate pesa yako,vinginevyo subiri kodi ya meza.
 

wanawake wengine ni waelewa,wasomi ila kwenye suala la utegemezi wamepotoka

ubarikiwe kwa kuwakumbusha wanachotakiwa kufanya
 

Mbona hiyo sio shida kwa WaTZ wengi! Pesa anazopata nje ya mshahara ndio nyingi zaidi. Unafikiri yale majumba yanayojengwa yametokana na mishahara? Magari yanayoendeshwa je? Sio mishahara ndugu yangu.

Hii ndiyo sababu waTZ hawalalamiki mishahara midogo.
 

SI KWELI KAMA WANAUME KWAMBA WANAUME WAMEUMBWA MATESO KUHANGAIKA NA KAMA NDIVYO BASI SOME OF US ARE EXCEPTIONAL, YAANI NI RAHA TUPU UTADHANI TUKO MBINGUNI VILE. TAKE CARE: PROV.23:7 For as he thinketh in his heart, so is he:
 

Huhuhuhuhu! Njoo kwangu tugawane 115,000/= (kima cha chini)
 
Wanaume wameumbwa mateso bwana....yaani sitaki hata kuelezea siku nitakayoshika hatamu ya mshahara wake wote. Nitakuwa nampa stipend kama student hivi, ili nimpangie budget zaidi za kimaisha.
 
that's true wanawake lazima tujitume c kusubiri kukinga mkono
 
utaoa tu
siku yako inakuja ya kupiga magoti ukiomba hela ya bia

hahaha, dah? pesa yangu mwenyewe naipigia magot ndo nikapate maji ya mende? hell no!
 

inawezekana hategemei mshahara wa mumewe, but its a control mesure tu
 
hii sijui kama inasaidia sana, maana nyumba ndogo mara nying zinapewa non-salary income, ambayo mara nyingi inakuwa kubwa kuliko mshahara
 

Mweee. Kwa staili hii haolewi mtu. Au mtu akioa muhimu kutafuta a part time job ya kuingiza mshahara kwenye account yake
 
Hahahahah.................... Smile usijefanya watu wakataliki wake bure.
Na mshahara wa mke anayefanya kazi wawekwa wapi mamii??
 
Ingekua mtu kila anapozini anatoka kitundu wengine mngekua kama neti humu

hii sahihi yako Smile mbona inatuaibisha wengi kwenye jamvi hili?
 
Wanaume wameumbwa mateso bwana....yaani sitaki hata kuelezea siku nitakayoshika hatamu ya mshahara wake wote. Nitakuwa nampa stipend kama student hivi, ili nimpangie budget zaidi za kimaisha.

Jamani madamex yaani student stipend kweli............hujui ya kuwa sasa umemkabidhi kwa ma-sugarmummies wamsulubu mtu wako lol......
 
Niliisikia hii taarifa BBC swahili kutoka malasia

naskia wanaume wa huku wanapenda kulelewa zao wanapeleka nyumba ndogo
mbona tukifanikiwa kuitumia tutapata maendeleo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…