Kiapo cha damu nlichokula na boyfriend wangu kinanitafuna aiseee

Kama wewe ni mkosaji Majibu yako yapo kwenye zaburi ya 109
 
Na maneno yote hayo umeogea pumba
 
Ushirikina mtupu huu...

Omba Sana toba Mungu akusamehe na uvunje hilo agano.

Rabbon Yesu Anakuja
 
Ina maana hata huko kuachana mlikoachana bado hamjavunja kiapo?

Bado unayo mapendo na mliyeachana ndiyo maana unatushughulisha hapa kutokana na kiapo kufanya kazi yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…