Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama wewe ni mkosaji Majibu yako yapo kwenye zaburi ya 109Miezi.kadhaa mwanaume niliyekuwa naye kwenye mahusiano alitoa wazo la kula kiapo cha damu na tuliridhia kweli tulipima kwanza ukimwi alhamdullilah wote tulikuwa negative na kiapo tulikula.
Kama kawaida wote tulitaja consequences za ikitokea mmoja kavunja kiapo ...yeye alisema haya maneno:
"Nikicheat au nikimuacha""(NIwe nateseka kwenye mapenzi .....niwe wa kulia lia na kuachwa ....nisidumu katika ndoa yyt.....maisha yangu yote nimuone yeye ...nikilala na mkaka mwingine niwe kichaa...atakae nioa afe)
Na Mimi consequences nilisema ila sizikumbuki baada ya kudumu miezi 6 tuliachana sababu ya jambo Fulani ila sitaliweka hadharani mtanisamehe.
Na tuliachana ...kiapo hajawai kutaka kuvunja huyo mkaka Kila nkimuambia ananigeuka hajala na Mimi kiapo Mimi kadri navyojaribu kumove on nashindwa sijwahi kujihusisha kimapenzi mwanaume mwingine maana naogopa kuwa kichaa na kufa kwa pamoja kutokana consequences za kiapo.
Naomba mnisaidie ....nimeona Bora kushare na nyie humu ndugu zangu ntakuwa nimetatua nusu ya tatizo ..
Maana mtandoni nimeperuzi naona consequences hutokea Sasa nashindwa kama ni kweli au la... au kuna mmoja aliwai.kuwa victim aniambie.
Asanteni..
I'm sorryWatu mpo serious na mapenzi kiasi hiki?
Nlifanyiwa ikagonga njeNjoo inbox nkufanyie dua
AsanteKama wewe ni mkosaji Majibu yako yapo kwenye zaburi ya 109
YeahKinachokutesa ni Fikra tu, Nothing else.
Na maneno yote hayo umeogea pumbaWewe ni kichaa sasa uliapa kuwa kichaa wakati tayari ni kichaa maana yake ukivunja icho kiapo utakuwa na AKILI ...KUNA JAMAA MMOJA KICHAA ALIKULA KIAPO NA MTU KUWA AKIENDA TOFAUTI ATAKUWA KICHAAA BASI BAADA YA JAMAA KUPOKEA PESA PAPO HAPO ALIKWENDA TOFAUTI NA KILE KIAPOBASI JAMAA AKAJA KUMUULIZA MBONA UMEKIUKA MASHARITI JAMAA AKASEMA SIJAKIUKA SHARITI LOLOTE SABABU MIMI NI KICHAA KABLA HATA YA KULA KIAPO .. mtu yoyote anaye ingia viapo vya kianithi huyo moja kwa moja ni chizi ...ndiyo wewe hivyo ukivunja hicho kiapo hakuna shida yoyote.
HaichekeshiNi kichaa anaye ogopa kuvunja mashariti ili asiwe kichaa....😁😁😁
Hitachekesha vipi wakati wewe ni kichaa wewe una cheka tu ukiona jalala jipya 😁😁😁😁Haichekeshi
You are stupidHAYO NDIYO YALE MATOTO MPUMBAVU YANAYO SEMA BORA UNITUKANIE BABA YANGU KULIKO MAMA YANGU...VERY STUPID
Inapatikana wp?Tafuta damu ya YESU,
Iam a GENIUS OF ALL THE TIMEYou are stupid
Utakuwa unaongoza ww kwa ukichaaaHitachekesha vipi wakati wewe ni kichaa wewe una furahia ukiona jalala jipya tu😁😁😁😁
Ushirikina mtupu huu...Miezi.kadhaa mwanaume niliyekuwa naye kwenye mahusiano alitoa wazo la kula kiapo cha damu na tuliridhia kweli tulipima kwanza ukimwi alhamdullilah wote tulikuwa negative na kiapo tulikula.
Kama kawaida wote tulitaja consequences za ikitokea mmoja kavunja kiapo ...yeye alisema haya maneno:
"Nikicheat au nikimuacha""(NIwe nateseka kwenye mapenzi .....niwe wa kulia lia na kuachwa ....nisidumu katika ndoa yyt.....maisha yangu yote nimuone yeye ...nikilala na mkaka mwingine niwe kichaa...atakae nioa afe)
Na Mimi consequences nilisema ila sizikumbuki baada ya kudumu miezi 6 tuliachana sababu ya jambo Fulani ila sitaliweka hadharani mtanisamehe.
Na tuliachana ...kiapo hajawai kutaka kuvunja huyo mkaka Kila nkimuambia ananigeuka hajala na Mimi kiapo Mimi kadri navyojaribu kumove on nashindwa sijwahi kujihusisha kimapenzi mwanaume mwingine maana naogopa kuwa kichaa na kufa kwa pamoja kutokana consequences za kiapo.
Naomba mnisaidie ....nimeona Bora kushare na nyie humu ndugu zangu ntakuwa nimetatua nusu ya tatizo ..
Maana mtandoni nimeperuzi naona consequences hutokea Sasa nashindwa kama ni kweli au la... au kuna mmoja aliwai.kuwa victim aniambie.
Asanteni..
You don't sound like a genius 😅😅Iam a GENIUS OF ALL THE TIME
Asante
Ina maana hata huko kuachana mlikoachana bado hamjavunja kiapo?Miezi.kadhaa mwanaume niliyekuwa naye kwenye mahusiano alitoa wazo la kula kiapo cha damu na tuliridhia kweli tulipima kwanza ukimwi alhamdullilah wote tulikuwa negative na kiapo tulikula.
Kama kawaida wote tulitaja consequences za ikitokea mmoja kavunja kiapo ...yeye alisema haya maneno:
"Nikicheat au nikimuacha""(NIwe nateseka kwenye mapenzi .....niwe wa kulia lia na kuachwa ....nisidumu katika ndoa yyt.....maisha yangu yote nimuone yeye ...nikilala na mkaka mwingine niwe kichaa...atakae nioa afe)
Na Mimi consequences nilisema ila sizikumbuki baada ya kudumu miezi 6 tuliachana sababu ya jambo Fulani ila sitaliweka hadharani mtanisamehe.
Na tuliachana ...kiapo hajawai kutaka kuvunja huyo mkaka Kila nkimuambia ananigeuka hajala na Mimi kiapo Mimi kadri navyojaribu kumove on nashindwa sijwahi kujihusisha kimapenzi mwanaume mwingine maana naogopa kuwa kichaa na kufa kwa pamoja kutokana consequences za kiapo.
Naomba mnisaidie ....nimeona Bora kushare na nyie humu ndugu zangu ntakuwa nimetatua nusu ya tatizo ..
Maana mtandoni nimeperuzi naona consequences hutokea Sasa nashindwa kama ni kweli au la... au kuna mmoja aliwai.kuwa victim aniambie.
Asanteni..
HakikaIna maana hata huko kuachana mlikoachana bado hamjavunja kiapo?
Bado unayo mapendo na mliyeachana ndiyo maana unatushughulisha hapa kutokana na kiapo kufanya kazi yake
HakijavunjwaIna maana hata huko kuachana mlikoachana bado hamjavunja kiapo?
Bado unayo mapendo na mliyeachana ndiyo maana unatushughulisha hapa kutokana na kiapo kufanya kazi yake